vizuri sana mmejiongezaSisi tulichungulia mziki wa Simba kisha tukaangalia kikosi chetu kilijaa watoto kina Nkane. Machale yakatucheza, tukaamua kuwaachia msala Azam.
Wala hatuna haja ya kuangalia game, maana Bingwa tayari ameshajulikana mapema.
Hamna TEPSI wala PEPSI leo ndio utajua kwa nn dukani kwa muhindi hakuna kiti cha muhudumuTEPSI EVANCE TEPSINHO
naweka msisitizoSimba taifa kubwa. Bocco asicheze hii mechi.
Vikosi bado jamani?
Ubingwa mapema tu
Huyo David ni yupi jamani!?
Udoh Nigerian. naona jamaa kashalamba mkataba huyuHuyo David ni yupi jamani!?
aiseeCHAMA Yupo Zanzibar.