Simba 3-1 ASEC Mimosas | CAF Confederation Cup | Uwanja wa Mkapa

Full Time
Mimosas 4- simba 0

Niwe mkweli leo simba hatutoboi kabisa tumezoea kubebwa
 
Makolo mnajitekenya na kucheka wenyewe. Kwa timu gani mliyonayo mpaka mshinde? 😁
 
Nikiwa kama simba kindakindaki nauliza
Je boko boko hajaanza?

Muanzisheni boko boko Wetu MO tuachie team yetu
Leo tunabugizwa 4 huo ndio ukweli
Au sio Scars simba mwenzangu?
 
Watanzania wanapenda kuchezea kwenye mitandao sana kuliko uwanjani. Tusubiri tuone leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…