Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana..Kila heri Mnyama Mkali Mwituni Simba SCKila la kheri Mnyama. Hii ndio ligi yenu. Japo sijazisikia zile kauli mbiu zenu za Do or Die.
𝐊𝐈𝐊𝐎𝐒𝐈 𝐂𝐇𝐀 𝐒𝐈𝐌𝐁𝐀 𝐃𝐇𝐈𝐃 𝐘𝐀 𝐀𝐒𝐄𝐂 𝐌𝐈𝐌𝐎𝐒𝐀𝐒
1. Aishi Manula
2. Shomari Kapombe
3. Mohamed Hussein
4. Joash Onyango
5. Enock Inonga
6. Jonas Mkude
7. Peter Banda
8. Sadio Kanoute
9. Meddie Kagere
10.Rally Bwalya
11.Sakho
SUB
Ally, Israel, Gadiel, Wawa, Nyoni, Mzamiru, Bocco, Muhilu, Jimmyson
Hahahaaa. Wacha nikae kimya Mtani sababu naiona timu ya Mtaani kwetu pale Abidjan kipindi niko kindergarten ikija kukupa masononeko ya moyo ambayo huyatarajii. 🤣🤣🤣Shadeeya toka huko ulikojificha uje uungane na mabingwa wa nchi.
jambo ni moja tu USHINDI.
SIMBA NGUVU MOJA
Inshaaalaah mkuu NAWATAFUNAKikosi kipi kitaanza leo?, tunasubiri kwa hamu tuone modern football kutoka kwa mnyama Simba sports club.
bila kuwasahau wanasimba lialia wakali wa jf sports.
OKW BOBAN SUNZU
Utopologist
Kalpana
BRN
Zitto
Nyamizi
Mshana Jr
na wanasimba wengine woote dua,sala na maombi yenu kwa Simba ni muhimu.
tuwe pamoja hapa.
Weka hapa Mkuu.. ESPRESSO COFFEEUzi Gani Tunautumia Kwa Live Updates?
Weka hapa Mkuu..@ESPRESSO COFFEE