Simba 3-1 ASEC Mimosas | CAF Confederation Cup | Uwanja wa Mkapa

Safi sana..Kila heri Mnyama Mkali Mwituni Simba SC
 
Mpira ndo kitu pekee kinachotufanya watz hata kama tunatofautiana kivyama ,tunaungana kitimu /kishabiki bila kujali tofauti zetu Kwa muda huo........

Kila la heri mnyama Simba.....💪
 
Hii game sijui kama tutatoboa, ila kikubwa tupo nyumbani kwaio ushindi ni muhimu.
Simba gufu moya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…