Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani itakuwa ameambiwa sio lazima afunge yeye. Ametulia na kutoa pasi nzuri sanaBoko leo umecheza vizur sanai sijui umeoga maji ya wapi leo ,haya maji uliyoogea leo usiyaacheeeee...
Samahani braza Kolo, kati yako na kocha nani fala?Kocha fala sana Sakho katoka unamuweka mzamiru wakati Tuna Kanoute na Mkude
Huo ndo ukweli mkuu. Japo Simba tumeshinda ila nasikitika sana kuona timu bora imepoteza mchezo
Walete waleteeeeHaya utopolo njooni tusemezaneView attachment 2118583
Super subShukran I kwa kepten John Boko kuingia kwako mchezo umebadilika
Hii stage ni ya kukusanya points sio knockout stage, ni either uchukue point 3,1 au upoteze.Hapa mpira bado kabisaaaa...hawa jamaa wazuri sana wakiwa nyumbani Simba atachezea kichapo cha si chini ya goli nne ugenini ... Comment hii ipewe ulinzi.. Nakazia...
AiseeeeKesho dunia nzima itashangilia ushindi wa simba kwa kuvaa nyekundu.
Ni kitasa sijaona Ligi kuu NBC, ile nafasi ya Achieng tungepata Inonga mwingine tungekuwa wabaya sana hapo nyuma, japo Achieng ni kiwango kikibwa ukilinganisha na beki wa team nyingine za NBC.Huyu baka ni zaidi ya kitasa
[emoji28][emoji28]Nishikeni jamani nahisi napaaa