Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Yanga ndio reflection ya taifa lenu. Timu ya taifa ikijaa Simba watupu nayo inakuwa sawa tu na YangaYanga ni moja ya timu mbovu Sana,yaan huwa inapokea kichapo nyumban na ugenin,yaan inatupaga aibu Sana watanzania,
Lakn Simba ni Moto sku zote
Simba oyeeeeeeee!!!!
Rangi za Yanga ziko kwenye bendera ya taifa, rangi za Simba ziko kwenye bendera za waganga wa kienyeji na wachawi