Simba Bob Junior wa Serengeti apinduliwa na kuuawa

Wao kwa wao itabidi wapigane na kuuana ili abaki mmoja tu
Wapo wengine huwa wanakaa pamoja bila shida wanaform coalition yaani ile ya wafalme wawili, watatu au wanne. Inategema na wamekua vipi.

Kuna Documentary: Lion brothers : Cubs to Kings (National Geographic Wild) itafute hii utazame story ya simba wawili mtu na kaka yake ambao wamekua pamoja na hawakutengana na wakaanzisha kingdom yao na kuitawala pamoja.
 
Hao ni simba brothers, hao siku zote huishi pamoja, lakini lijapo swala la baba na vijana wake wa kiume kamwe huwa hawaishi pamoja.
Watoto wa Simba wakikua, lile dume (baba yao) huwafukuza wakajitegemee, lakini majike huwa hawafukuzwi.
Wale watoto wakishapata nguvu huko ndipo hupanga kuja kufanya mapinduzi ya kumuua baba yao ili wamiliki territory, ingawa wengine hupotezea na kuendelea maisha yao.
 
Kweli yani ukiwa soft umeisha.Nawaza tu yani mashoga wangekuwa jamii ya Simba wangekuwa washaisha.
 
Hapana kwa mujibu wa vitabu vya wanyama wote hawatowajibika kwa Lolote kwa kuwa hawana hakili atakaewajibika kwenda peponi na motoni ni Binadam kwa sababu ana akili
Wanyama hawana akili kivp, una uhakika hawana akil , au ni story za kusikia tu.
 
Mto huo inaishia hapo tu? Kwani mto Nile unaopita Uganda ukifika Egypty sio mto Nile? Kama geographically hauflow kwenda huko happy sawa.
 
Wanashtakiwa TANAPA au wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…