Simba hatarini kupokonywa kombe; TFF kufungiwa na FIFA kwa sababu ya Yanga

Mnazingua sana mnajikuta viazi mnaleta tu nyuzi ambazo hazina mashiko sisi tunategema jf kukuta vitu smart sa nikikutana na huu utopolo nashindwa kujizuia
Kwa hiyo unachotaka nini au unatafuta ban nimuite Moderator aje kufanya kazi yake?
 
Umekurupuka, soma tena hoja yake na umuelewe vizuri.
 
Tatizo simba huyu ameenda pole mno hadi ataikosa nyama au atakuta imeioza. Tazama nchi zote duniani ligi zao zimefika tamati lakini ligi hii ya TFF inatarajiwa kufika tamati mwaka ujao. Haya ni maajabu ya dunia ndugu yangu Bujibuji .

Ukiwa muongo uwe pia na kipaji cha kumbukumbu,umeshaona ligi ya Egypt inamalizika lini? Umejitahidi hapo juu kujitetea wewe si mtu wa mpira kivile,na huku kwenye Comment unatiririka ki Utopolo style.Tulieni,tar 3 tunatangaza ushindi mbele yenu
 
Unaona ulivyo bwabwa ,embu soma tena ulichocomment alaf jipige kichwan sema mm ni shoga a.k.a bwabwa niliyejaza kinyesi kichwan badala ya ubongo
 
Wakat yanga anaingia uwanjan kulikwepo marefa na viongozi wa meza kuu? Ukijibu hili bila unafki ntajua kweli unazijua kanuni za mpira
 
hivi ukiwa utopolo na akili zinahama, yaani mtu anaamka na kupost upuuzi kama huu.
Gomeeni kuja tarehe 3 halafu muone Fifa watachukua maamuzi gani.
 
Wakat yanga anaingia uwanjan kulikwepo marefa na viongozi wa meza kuu? Ukijibu hili bila unafki ntajua kweli unazijua kanuni za mpira
Kikubwa bi Pre March meeting ilifanyika asubuhi na kila timu ikawasilisha list ya wachezaji, na waamuzi wakatambushwa, kawaida ikifanyika pre March basi mchezo upo
 
Kuna hesabu umepiga hapa zimekaa ki utopolo utopolo tu. Kama Simba atacheza mechi 33 basi Yanga nayo watakua wamecheza idadi hiyo hiyo ya Mechi. HaHaiewezekaniimba awe amecheza mechi 33 wakati Yanga awe amemaliza mechi zake zote wakati Timu hizi zinapaswa kukutana.

Pili hata tukiamua kuwapa Yanga ushindi wa Mechi ile ambayo haikuchezwa ili lengo lao la kuikwepa Simba litimie (aibu), Simba haitegemei points hizo tu ndo iwe Bingwa. Mtaji wa Points ilizojikusanyia, na inazoendelea kujikusanyia unaifanya Simba iiache mbali sana Yanga kiasi cha kwamba ubingwa uko pale pale tu.

Nje ya mada mbona hutuletei ile mikeka yako ya premier bet bro tupige hela? Kuna behewa flan hivi ulikua ukitupia hatukosi kadhaa
 
Ligi za Kenya,Misri,Moroco...... zenyewe zipo sayari ya Mars au jaribu kujificha utopolo wako
Tatizo simba huyu ameenda pole mno hadi ataikosa nyama au atakuta imeioza. Tazama nchi zote duniani ligi zao zimefika tamati lakini ligi hii ya TFF inatarajiwa kufika tamati mwaka ujao. Haya ni maajabu ya dunia ndugu yangu Bujibuji .
 
Kinachonipa shida Tu ligi zote duniani zilisimama Tanzania ikafungua ligi mapema Sana kabla ya nchi nyingi.

Chukulia mfano ligi ya uingereza yenye timu 20 ishamalizika, na walianza nyuma ya ligi yetu, sisi timu 18 mpaka sasa ligi haijaisha

Hapa ndiyo utajua kuwa ubingwa unaandaliwa tena kichawi chawi TFF ndiyo waandaaji wa ligi mbovu kama hii.

Ndiyo maana hata Voda wakaamua kujiondia kufadhiri ligi mbovu ya TFF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…