Simba hawezi pata matokeo mbele ya Asec Mimosa wiki hii

Objective football

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2023
Posts
1,195
Reaction score
2,771
Tusichoshane Wana lunyasi wenzangu hio gemu hatutoboi, mbaya zaidi
walituahidi kuelekea hii gemu kocha mkuu mpya atakuwepo kwenye technical bench yetu.

Mpaka sasa matola na cadena bado wapo na tetesi ni kwamba Mgunda amesaini tayari mkataba wa kuitumikia TANZANIA PRISONS

Nawauliza viongozi wa club, hizi danadana mtatupiga hadi lini?
 
Kwahio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…