Simba hii michezo mliyoanza ya kuhonga marefa ili mshinde mechi itawapalia muda si mrefu, mmeanza wengine watamaliza na pasiwepo kelele!

Simba hii michezo mliyoanza ya kuhonga marefa ili mshinde mechi itawapalia muda si mrefu, mmeanza wengine watamaliza na pasiwepo kelele!

Manara hakukosea kusema utopolo wenye akili watu wawili timu iko CAF Champions halafu tufungwe mashost wa utipolo au CAF Champions uko nako tulihonga
 
"MASHABIKI WA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE WANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE WANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"

- DR LUC EYMAEL 2020
 
.
 

Attachments

  • images (1).jpeg
    images (1).jpeg
    13.7 KB · Views: 2
Hizi habari zenu tumeshazizoea. Simba ikifanya vizuri mnakimbilia kumponda karia na marefa. Na msimu huu hadi mtoe majimaji kwenye matundu yenu yote yaliyopo mwilini.
 
Naona Tanzania inayo safari ndefu katika nyanja ya waamuzi na mpira wa kitanzania kiujumla, mechi ya Leo imeonyesha ni wapi tunaelekea na klabu kinachokwenda kuiwakilisha nchi kimataifa!
Mpaka Sasa sijaelewa mwamuzi alikataaje goli la singida na kuamuru kuwa ni offside, ukirejea kuangalia replay zaidi ya mara kumi uwezi kuiona iyo offside na ata mwamuzi analijua ilo isipokuwa pengine fedha alizopewa zimemrevya! Uwezi kusema kwamba waamuzi awajui walifanyalo na wakati wanapewa mafunzo Kila mara ya Sheria na kanuni za soka! Huu ni uchafuzi wa mpira wa Tanzania!
Timu Kama inashinda basi ishinde kwa juhudi zake na ubora wake na sio kubebwa na waamuzi, Hii ni mechi ya pili Simba anafaidika na maamuzi ya waamuzi na chama Cha waamuzi kipo kimetulia tu,
Na hii ndio timu eti inakwenda kucheza kimataifa? Unakwenda kucheza kimataifa ukiwa inategemea ibebwe kwenye LIGI yako ili ushinde vipi kimataifa unadhani wapo waamuzi aina ya wakina tatu marogo?
Lakini hii michezo nafikiri itakuja kuwacost wao wenyewe maana timu nyingine zinaona kinachofanyika kwaiyo kwa sasa Kila timu itashinda mechi zake kivyovyote ata kwa goli la mkono na pasiwepo na mpuuzi yoyote wa kuinua kisemeo kulalamika!
Mbinu hii imechaguliwa rasmi na mwisho wa msimu tutaona nani bingwa,
Simba ni timu ambayo Iko ovyo sana kwenye defence line yake na ndio maana Kila mechi inaruhusu goli ivyo kimbilio lao la mwisho liliobaki ni waamuzi wa kitanzania, lakini tukumbuke udhaifu wao huu kwenye mechi za kimataifa watachapika ipasavyo na kule akuna waamuzi wa Rose mhando, licha ya singida kunyimwa goli halali bado walikuwa na uwezo wa kumaliza mechi kwa ushindi namna walivyocheza kipindi Cha pili, kwa maana iyo Ile dhana ya kubebwa na waamuzi utafaidika nayo kwa marefa wa hapa Tanzania na ukitoka nje utahukumiwa kwa ubora wako na si vinginevyo!


N;B kutoa povu ni ruksa kwa wafuasi wa mbumbumbu fc lakini ujumbe umefika na mkiridhika na kinachoendelea majibu mtayapata mechi za kimataifa!
Mpaka useme,Bado haujasema,utasematu, mwaka huu hakuna ubingwa wa kumtuma mtu akamfunge Mwingine, unataka ubingwa mfunge wewe ,team yako si Bora uchukue point sita Kwa mnyama .
 
Achana na iyo tuseme ni makosa ya kibinadamu, Rudi kwenye tukio lililo mhusisha Luis Kibonge Nickson.

Refa na line 2 kuto iona offside ambayo alizidi yapata mita 10/15 mpaka pale beki Nicholaus Wadada alipo mkimbiza ns kumpokonya mpira.
Ivi ata ao Caf wakiona tukio kama lile si wanafikiri ni ligi ya futuhi[emoji3][emoji3]
 
Naona Tanzania inayo safari ndefu katika nyanja ya waamuzi na mpira wa kitanzania kiujumla, mechi ya Leo imeonyesha ni wapi tunaelekea na klabu kinachokwenda kuiwakilisha nchi kimataifa!
Mpaka Sasa sijaelewa mwamuzi alikataaje goli la singida na kuamuru kuwa ni offside, ukirejea kuangalia replay zaidi ya mara kumi uwezi kuiona iyo offside na ata mwamuzi analijua ilo isipokuwa pengine fedha alizopewa zimemrevya! Uwezi kusema kwamba waamuzi awajui walifanyalo na wakati wanapewa mafunzo Kila mara ya Sheria na kanuni za soka! Huu ni uchafuzi wa mpira wa Tanzania!
Timu Kama inashinda basi ishinde kwa juhudi zake na ubora wake na sio kubebwa na waamuzi, Hii ni mechi ya pili Simba anafaidika na maamuzi ya waamuzi na chama Cha waamuzi kipo kimetulia tu,
Na hii ndio timu eti inakwenda kucheza kimataifa? Unakwenda kucheza kimataifa ukiwa inategemea ibebwe kwenye LIGI yako ili ushinde vipi kimataifa unadhani wapo waamuzi aina ya wakina tatu marogo?
Lakini hii michezo nafikiri itakuja kuwacost wao wenyewe maana timu nyingine zinaona kinachofanyika kwaiyo kwa sasa Kila timu itashinda mechi zake kivyovyote ata kwa goli la mkono na pasiwepo na mpuuzi yoyote wa kuinua kisemeo kulalamika!
Mbinu hii imechaguliwa rasmi na mwisho wa msimu tutaona nani bingwa,
Simba ni timu ambayo Iko ovyo sana kwenye defence line yake na ndio maana Kila mechi inaruhusu goli ivyo kimbilio lao la mwisho liliobaki ni waamuzi wa kitanzania, lakini tukumbuke udhaifu wao huu kwenye mechi za kimataifa watachapika ipasavyo na kule akuna waamuzi wa Rose mhando, licha ya singida kunyimwa goli halali bado walikuwa na uwezo wa kumaliza mechi kwa ushindi namna walivyocheza kipindi Cha pili, kwa maana iyo Ile dhana ya kubebwa na waamuzi utafaidika nayo kwa marefa wa hapa Tanzania na ukitoka nje utahukumiwa kwa ubora wako na si vinginevyo!


N;B kutoa povu ni ruksa kwa wafuasi wa mbumbumbu fc lakini ujumbe umefika na mkiridhika na kinachoendelea majibu mtayapata mechi za kimataifa!
Kimataifa ndo kipimo tosha Cha ubora wa Ligi yetu

Tarehe Ishirini siyo mbali
 
Naona Tanzania inayo safari ndefu katika nyanja ya waamuzi na mpira wa kitanzania kiujumla, mechi ya Leo imeonyesha ni wapi tunaelekea na klabu kinachokwenda kuiwakilisha nchi kimataifa!
Mpaka Sasa sijaelewa mwamuzi alikataaje goli la singida na kuamuru kuwa ni offside, ukirejea kuangalia replay zaidi ya mara kumi uwezi kuiona iyo offside na ata mwamuzi analijua ilo isipokuwa pengine fedha alizopewa zimemrevya! Uwezi kusema kwamba waamuzi awajui walifanyalo na wakati wanapewa mafunzo Kila mara ya Sheria na kanuni za soka! Huu ni uchafuzi wa mpira wa Tanzania!
Timu Kama inashinda basi ishinde kwa juhudi zake na ubora wake na sio kubebwa na waamuzi, Hii ni mechi ya pili Simba anafaidika na maamuzi ya waamuzi na chama Cha waamuzi kipo kimetulia tu,
Na hii ndio timu eti inakwenda kucheza kimataifa? Unakwenda kucheza kimataifa ukiwa inategemea ibebwe kwenye LIGI yako ili ushinde vipi kimataifa unadhani wapo waamuzi aina ya wakina tatu marogo?
Lakini hii michezo nafikiri itakuja kuwacost wao wenyewe maana timu nyingine zinaona kinachofanyika kwaiyo kwa sasa Kila timu itashinda mechi zake kivyovyote ata kwa goli la mkono na pasiwepo na mpuuzi yoyote wa kuinua kisemeo kulalamika!
Mbinu hii imechaguliwa rasmi na mwisho wa msimu tutaona nani bingwa,
Simba ni timu ambayo Iko ovyo sana kwenye defence line yake na ndio maana Kila mechi inaruhusu goli ivyo kimbilio lao la mwisho liliobaki ni waamuzi wa kitanzania, lakini tukumbuke udhaifu wao huu kwenye mechi za kimataifa watachapika ipasavyo na kule akuna waamuzi wa Rose mhando, licha ya singida kunyimwa goli halali bado walikuwa na uwezo wa kumaliza mechi kwa ushindi namna walivyocheza kipindi Cha pili, kwa maana iyo Ile dhana ya kubebwa na waamuzi utafaidika nayo kwa marefa wa hapa Tanzania na ukitoka nje utahukumiwa kwa ubora wako na si vinginevyo!


N;B kutoa povu ni ruksa kwa wafuasi wa mbumbumbu fc lakini ujumbe umefika na mkiridhika na kinachoendelea majibu mtayapata mechi za kimataifa!
Na bado hamjasema..... mpaka msemeeee......
 
Naona Tanzania inayo safari ndefu katika nyanja ya waamuzi na mpira wa kitanzania kiujumla, mechi ya Leo imeonyesha ni wapi tunaelekea na klabu kinachokwenda kuiwakilisha nchi kimataifa!
Mpaka Sasa sijaelewa mwamuzi alikataaje goli la singida na kuamuru kuwa ni offside, ukirejea kuangalia replay zaidi ya mara kumi uwezi kuiona iyo offside na ata mwamuzi analijua ilo isipokuwa pengine fedha alizopewa zimemrevya! Uwezi kusema kwamba waamuzi awajui walifanyalo na wakati wanapewa mafunzo Kila mara ya Sheria na kanuni za soka! Huu ni uchafuzi wa mpira wa Tanzania!
Timu Kama inashinda basi ishinde kwa juhudi zake na ubora wake na sio kubebwa na waamuzi, Hii ni mechi ya pili Simba anafaidika na maamuzi ya waamuzi na chama Cha waamuzi kipo kimetulia tu,
Na hii ndio timu eti inakwenda kucheza kimataifa? Unakwenda kucheza kimataifa ukiwa inategemea ibebwe kwenye LIGI yako ili ushinde vipi kimataifa unadhani wapo waamuzi aina ya wakina tatu marogo?
Lakini hii michezo nafikiri itakuja kuwacost wao wenyewe maana timu nyingine zinaona kinachofanyika kwaiyo kwa sasa Kila timu itashinda mechi zake kivyovyote ata kwa goli la mkono na pasiwepo na mpuuzi yoyote wa kuinua kisemeo kulalamika!
Mbinu hii imechaguliwa rasmi na mwisho wa msimu tutaona nani bingwa,
Simba ni timu ambayo Iko ovyo sana kwenye defence line yake na ndio maana Kila mechi inaruhusu goli ivyo kimbilio lao la mwisho liliobaki ni waamuzi wa kitanzania, lakini tukumbuke udhaifu wao huu kwenye mechi za kimataifa watachapika ipasavyo na kule akuna waamuzi wa Rose mhando, licha ya singida kunyimwa goli halali bado walikuwa na uwezo wa kumaliza mechi kwa ushindi namna walivyocheza kipindi Cha pili, kwa maana iyo Ile dhana ya kubebwa na waamuzi utafaidika nayo kwa marefa wa hapa Tanzania na ukitoka nje utahukumiwa kwa ubora wako na si vinginevyo!


N;B kutoa povu ni ruksa kwa wafuasi wa mbumbumbu fc lakini ujumbe umefika na mkiridhika na kinachoendelea majibu mtayapata mechi za kimataifa!
Refa kumb wana ongwa
 
Naona Tanzania inayo safari ndefu katika nyanja ya waamuzi na mpira wa kitanzania kiujumla, mechi ya Leo imeonyesha ni wapi tunaelekea na klabu kinachokwenda kuiwakilisha nchi kimataifa!
Mpaka Sasa sijaelewa mwamuzi alikataaje goli la singida na kuamuru kuwa ni offside, ukirejea kuangalia replay zaidi ya mara kumi uwezi kuiona iyo offside na ata mwamuzi analijua ilo isipokuwa pengine fedha alizopewa zimemrevya! Uwezi kusema kwamba waamuzi awajui walifanyalo na wakati wanapewa mafunzo Kila mara ya Sheria na kanuni za soka! Huu ni uchafuzi wa mpira wa Tanzania!
Timu Kama inashinda basi ishinde kwa juhudi zake na ubora wake na sio kubebwa na waamuzi, Hii ni mechi ya pili Simba anafaidika na maamuzi ya waamuzi na chama Cha waamuzi kipo kimetulia tu,
Na hii ndio timu eti inakwenda kucheza kimataifa? Unakwenda kucheza kimataifa ukiwa inategemea ibebwe kwenye LIGI yako ili ushinde vipi kimataifa unadhani wapo waamuzi aina ya wakina tatu marogo?
Lakini hii michezo nafikiri itakuja kuwacost wao wenyewe maana timu nyingine zinaona kinachofanyika kwaiyo kwa sasa Kila timu itashinda mechi zake kivyovyote ata kwa goli la mkono na pasiwepo na mpuuzi yoyote wa kuinua kisemeo kulalamika!
Mbinu hii imechaguliwa rasmi na mwisho wa msimu tutaona nani bingwa,
Simba ni timu ambayo Iko ovyo sana kwenye defence line yake na ndio maana Kila mechi inaruhusu goli ivyo kimbilio lao la mwisho liliobaki ni waamuzi wa kitanzania, lakini tukumbuke udhaifu wao huu kwenye mechi za kimataifa watachapika ipasavyo na kule akuna waamuzi wa Rose mhando, licha ya singida kunyimwa goli halali bado walikuwa na uwezo wa kumaliza mechi kwa ushindi namna walivyocheza kipindi Cha pili, kwa maana iyo Ile dhana ya kubebwa na waamuzi utafaidika nayo kwa marefa wa hapa Tanzania na ukitoka nje utahukumiwa kwa ubora wako na si vinginevyo!


N;B kutoa povu ni ruksa kwa wafuasi wa mbumbumbu fc lakini ujumbe umefika na mkiridhika na kinachoendelea majibu mtayapata mechi za kimataifa!
malalamiko haya tulisema mfungue sanduku la maoni muyaweke huko, tutapita kila ijumaa kuyachukua nyieee utopolo nini hamuelewi??
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Achana na iyo tuseme ni makosa ya kibinadamu, Rudi kwenye tukio lililo mhusisha Luis Kibonge Nickson.

Refa na line 2 kuto iona offside ambayo alizidi yapata mita 10/15 mpaka pale beki Nicholaus Wadada alipo mkimbiza ns kumpokonya mpira.
Ivi ata ao Caf wakiona tukio kama lile si wanafikiri ni ligi ya futuhi[emoji3][emoji3]
Kwanini hukujiuliza hao CAF walijisukiaje walipoona matukio kama haya?
 

Attachments

  • FB_IMG_1696932948852.jpg
    FB_IMG_1696932948852.jpg
    47 KB · Views: 1
Kipindi wakuu wa mikoa wanatoa ahadi ya hela kwa team itakayoifunga simba mlikuwa wapi kukemea hilo
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Ihefu nao walihonga?! Mbona hamsemi
 
Back
Top Bottom