Simba itaishia alama 3 tu ligi ya mabingwa Afrika

Kaka! Unajisikiaje baada ya tetemeko la Jumanne... UZALENDO MTAUONA Jumamosi..... 4 zilizobakia tumeagizwa na Al ahly wa tuwape nyinyi....
 
Kama kitu hukijui ni bora kukaa kimya ili watu wasikuone mjinga, Yanga ndiyo timu ya kwanza Tanzania kushiriki Caf champions legue 1998
Halafu ikawaje? Na nani kashiriki mara nyingi?
 
Mwaka 1974 Simba S.C walitinga semi final, wakacheza na Ghazl El Mahalla S.C ya Egypt ambapo Simba alishinda 1-0 hapa home, akafungwa kule Egypt 1-0 , Simba alitolewa kwa matuta.

Kama kitu hukijui ni bora kukaa kimya ili watu wasikuone mjinga, Yanga ndiyo timu ya kwanza Tanzania kushiriki Caf champions legue 1998

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli .. game ya Saoura italeta picha mpya ya group hili.. hata mechi ya VITA vs AL AHLY.
Hii ni lazima ibadilike ndio maana ya group stage, Yanga wanaweza wasielewe
Group hili ndilo Group gumu sana ktk mashindano ya mwaka huu ya Caf Champion league

MTC | 101| [emoji769]
 
Kweli .. game ya Saoura italeta picha mpya ya group hili.. hata mechi ya VITA vs AL AHLY.
Hii ni lazima ibadilike ndio maana ya group stage, Yanga wanaweza wasielewe
Simba inabidi iombee Vital amfunge Al Ahyl au atoe sare dhidi ya Al Ahyl, maana nahisi endapo Al Ahyl atamfunga Vital atakuwa na point 10 na Js Saoura akishinda dhidi ya simba watafikisha point 8. Mechi ya mwisho waarabu wanakutana wenyewe kwa wenyewe ni rahisi sana kutengeneza fitna kwasababu Al Ahyl itakuwa ameshapita tayari, na JS Saoura watakuwa wanatafuta sare tu ili afikishe point 9. Simba hata akimfunga Vital watakuwa na 9 ila kwenye magoli ndiyo yatakayoamua na ikumbukwe Simba karuhusu magoli mengi. Na Vital nae akimfunga Simba atakuwa na point 7 tu hivyo hatokuwa na safari tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
poleni mavyura. Wenzenu tunachanja mbuga hadi sasa. Na hata huo ubingwa wa ligi kuu mtausikia tu, tunauchukua wenyewe. Na kwa nini mpate shida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…