Simba itapeleka timu Uwanjani tayari kwa mechi na Yanga

Simba itapeleka timu Uwanjani tayari kwa mechi na Yanga

(Kila kinachosikika ni lazima kiletwe humu);

Kutoka chanzo muhimu, inasemekana kuwa licha ya barua Yao ya kutoshiriki derby ya Leo, kikosi Cha Simba kitapelekwa uwanjani kama kawaida tayari kwa mechi.

Kwa mujibu wa chanzo hiki, Kilichofanyika usiku wa Leo ni milolongo ya hatua za kuwatoa wapinzani wao Mchezoni na kuhujumu mapato kwani inafikiriwa watazamaji wengi hawatojitokeza.

Pia itawafanya Yanga ku-relax kimaandalizi na hivyo kutoa advantage kwa Wekundu Hawa wa Msimbazi ambao wanahofia utayari wao kwa mchezo huu

Stay tuned
Kama suala ni kuwafanya yanga wa relax ki maandalizi basi Hao viongozi wa Makolo akili zao zimelala sana na hawastahili kuwa hapo walipo mara moja
 
Yaani uwandike barua ya kuhairisha mechi, Kisha uwende uwanjani pasipo kuutarifu Umma? Nadhani Simba wasimamie kile wanachoamini

Mbona hawajiamini
Hiyo ndio ilivyo..usimuamini mtoa uzi
 
Yeah, yalifunguliwa instantly baada ya amri ya kamishna
Hebu kaisome barua yenu maana mmejikaanga wenyewe. Mageti ya funguliwe vip instantly wakati kwenye barua nyie wenyewe mmkekubali meneja wa uwanja hakuwa na taarifa,sasa hayo mageti yalifunguliwa vipi.
 
Miaka yote ya mechi za watani,mwenyeji anakabidhiwa uwanja,mgeni anaingia uwanjani siku ya mechi akitokea mahali alipoweka kambi.Ndio maana hata meneja hakuwa na taarifa za wao kuja uwanjani. Hata Yanga hii nafasi ya kutumia huu uwanja kabla ya mechi round ya kwanza hakupewa, je hizo kanuni hazikuwepo, maana aliingia uwanjani akitokea Avic Town na mechi alicheza.
Kama kanuni huzijui omba kujulishwa, wakati mwingine kukaa kimya ni njia sahihi ya kuficha upumbavu wako,,
 
Jose huna unalojua kwenye Sheria za mpira
Miaka yote ya mechi za watani,mwenyeji anakabidhiwa uwanja,mgeni anaingia uwanjani siku ya mechi akitokea mahali alipoweka kambi.Ndio maana hata meneja hakuwa na taarifa za wao kuja uwanjani. Hata Yanga hii nafasi ya kutumia huu uwanja kabla ya mechi round ya kwanza hakupewa, je hizo kanuni hazikuwepo, maana aliingia uwanjani akitokea Avic Town na mechi alicheza.
 
Yaani siku hizi kila mtu ana chanzo chake[emoji23]
Screenshot_2025-03-08-09-50-05-815_com.twitter.android.jpg
 
Kama kanuni huzijui omba kujulishwa, wakati mwingine kukaa kimya ni njia sahihi ya kuficha upumbavu wako,,
Ina maana kanuni zipo kuanzia jana,ila round ya kwanza kanuni hazikuwepo? Maana Yanga hakupewa hiyo nafasi na kucheza alicheza au kanuni zinachagua round 2 na kubagua round ya kwanza?
 
Jose huna unalojua kwenye Sheria za mpira
Hivi unjua maana ya sheria? Round ya kwanza wakati Yanga hakupewa nafasi ya kutumia uwanja kabla ya mechi ina maana kulikuwa hamna sheria? Au hii sheria ilikuwa imetungwa jana asubuhi na kuwa enforced jioni?
 
Chanzo chako hakina maana sababu hakuna udhibitisho, ni kama maneno ya kwenye kanga au maneno ya mtaani au maneno ya kwenye vijiwe vya kahawa ..sasahivi jamii forum imekua na Vichaa wengi kila mtu anaweza kufungua thread na kujifurahisha hata kama thread inaonekana ni ya kiuwendawazimu.
 
Yanga hawajamzuia mtu kufanya mazoezi. Kwani mageti yalikuwa wazi, kwamba Yanga walisimama magetini?
Wenzako wameshasema wana ushahidi mpaka wa video mabaunsa wa Yanga kuwazuia, maana yake wanajiamini na wanachosema, sasa wewe mwenzetu sijui una ushahidi gani wa hiki ulichokiandika. Gates kuwa wazi si kigezo cha mtu kuzuiwa
 
Huku wenye akili si wawili
Hivi unjua maana ya sheria? Round ya kwanza wakati Yanga hakupewa nafasi ya kutumia uwanja kabla ya mechi ina maana kulikuwa hamna sheria? Au hii sheria ilikuwa imetungwa jana asubuhi na kuwa enforced jion
 
Wenzako wameshasema wana ushahidi mpaka wa video mabaunsa wa Yanga kuwazuia, maana yake wanajiamini na wanachosema, sasa wewe mwenzetu sijui una ushahidi gani wa hiki ulichokiandika. Gates kuwa wazi si kigezo cha mtu kuzuiwa
Unawaamini hao? Sasa kama mageti yalifungwa, walizuiwa kuingia wapi? AU tuseme meneja wa uwanja ndo amewazuia kwa kutofungua mageti?
 
Twende nao tu hivyo hivyo rafiki sababu mwisho wa siku siku zote wahusika wakuu tunakuwaga sisi sisi Timu vigogo na ndio sababu saa ingine hata hatua stahiki hazichukuliki sababu ya kuoneana muhali.
Sasa kuna kiongozi mmoja namuheshimu kama kaka yangu na msomi ila alichoandika ni taka taka kabisa eti sio kugomea mechi tu watagomea Hadi ligi... hahahaha
 
Sasa kuna kiongozi mmoja namuheshimu kama kaka yangu na msomi ila alichoandika ni taka taka kabisa eti sio kugomea mechi tu watagomea Hadi ligi... hahahaha
Wajinga aina yako ndio mtaji mkubwa wa chama tawala nchini. Bila CCM kua na wajinga wengi wa aina yako basi ingekua imeshakufa zamani. Hivyo ccm inawahitaji sana wajinga wengi aina yako ili uendelee ku-survive madarakani.
 
Wajinga aina yako ndio mtaji mkubwa wa chama tawala nchini. Bila CCM kua na wajinga wengi wa aina yako basi ingekua imeshakufa zamani. Hivyo ccm inawahitaji sana wajinga wengi aina yako ili uendelee ku-survive madarakani.
Nitake mie sio mtanzania , siwezi kuwa mjinga km nyie na CCM yenu inawaburuza kingese ,
 
Wajinga aina yako ndio mtaji mkubwa wa chama tawala nchini. Bila CCM kua na wajinga wengi wa aina yako basi ingekua imeshakufa zamani. Hivyo ccm inawahitaji sana wajinga wengi aina yako ili uendelee ku-survive madarakani.
Kumbe wajinga wajinga mko wengi eeh,dah Tawala kweli kinatawala Hadi akili za watanzania
 
Kumbe wajinga wajinga mko wengi eeh,dah Tawala kweli kinatawala Hadi akili za watanzania
Achana nae huyo mnafiki yupo kila uzi wa kwenye jukwaa la mechezo sasa sijui anafuata nini. Hana tofauti anaye ichukia nyama ya nguruwe ila mchuzi anautamani.
 
Back
Top Bottom