Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
Polisi hawakuwepo wahuni wanaweza izidi polisi?!Kamishna ambaye ndio anatakiwa ampe taarifa meneja, alifika hadi eneo la tukio na akampa taarifa meneja. Meneja akatoa ruhusa, wahuni wakazuia. Tafuta habari, acha kubweteka