Wajinga aina yako ndio mtaji mkubwa wa chama tawala nchini. Bila CCM kua na wajinga wengi wa aina yako basi ingekua imeshakufa zamani. Hivyo ccm inawahitaji sana wajinga wengi aina yako ili uendelee ku-survive madarakani.Kumbe wajinga wajinga mko wengi eeh,dah Tawala kweli kinatawala Hadi akili za watanzania
Wajinga aina yako ndio mtaji mkubwa wa chama tawala nchini. Bila CCM kua na wajinga wengi wa aina yako basi ingekua imeshakufa zamani. Hivyo ccm inawahitaji sana wajinga wengi aina yako ili uendelee ku-survive madarakani.Achana nae huyo mnafiki yupo kila uzi wa kwenye jukwaa la mechezo sasa sijui anafuata nini. Hana tofauti anaye ichukia nyama ya nguruwe ila mchuzi anautamani.
Sasa unafanya ni humu kama sio unafiki kama mtoto wa kike sitaki nataka nyingi, upo kwenye thread zaidi ya kumi za michezo unafuata nini wakati majukwaa ya siasa yapo. Unakuwa kama wanafiki wanaochukia nyama ya nguruwe huku mchuzi wake ukiutamani.Wajinga aina yako ndio mtaji mkubwa wa chama tawala nchini. Bila CCM kua na wajinga wengi wa aina yako basi ingekua imeshakufa zamani. Hivyo ccm inawahitaji sana wajinga wengi aina yako ili uendelee ku-survive madarakani.
Mashabiki wa Simba ni mbumbumbu by Rage, kweli ni mbumbumbuWajinga aina yako ndio mtaji mkubwa wa chama tawala nchini. Bila CCM kua na wajinga wengi wa aina yako basi ingekua imeshakufa zamani. Hivyo ccm inawahitaji sana wajinga wengi aina yako ili uendelee ku-survive madarakani.
Nadhani ndo tumekumbushwa kwamba mazoea sio utaratibu.Miaka yote ya mechi za watani,mwenyeji anakabidhiwa uwanja,mgeni anaingia uwanjani siku ya mechi akitokea mahali alipoweka kambi.Ndio maana hata meneja hakuwa na taarifa za wao kuja uwanjani. Hata Yanga hii nafasi ya kutumia huu uwanja kabla ya mechi round ya kwanza hakupewa, je hizo kanuni hazikuwepo, maana aliingia uwanjani akitokea Avic Town na mechi alicheza.
Wasipeleke timu Yanga wabebe point za mezanπ€£π€£(Kila kinachosikika ni lazima kiletwe humu);
Kutoka chanzo muhimu, inasemekana kuwa licha ya barua Yao ya kutoshiriki derby ya Leo, kikosi Cha Simba kitapelekwa uwanjani kama kawaida tayari kwa mechi.
Kwa mujibu wa chanzo hiki, Kilichofanyika usiku wa Leo ni milolongo ya hatua za kuwatoa wapinzani wao Mchezoni na kuhujumu mapato kwani inafikiriwa watazamaji wengi hawatojitokeza.
Pia itawafanya Yanga ku-relax kimaandalizi na hivyo kutoa advantage kwa Wekundu Hawa wa Msimbazi ambao wanahofia utayari wao kwa mchezo huu
Stay tuned
Simba hatuna utoto wa hivi,,,timu haitakwenda uwanjani na siyo Kwa mchezo wa leo tu Bali kwa michezo yote ya ligi iliyobaki endapo kama maamuzi stahiki hayatachukuliwa mapema dhidi ya vitendo hivi visivyo vya kuungwana(Kila kinachosikika ni lazima kiletwe humu);
Kutoka chanzo muhimu, inasemekana kuwa licha ya barua Yao ya kutoshiriki derby ya Leo, kikosi Cha Simba kitapelekwa uwanjani kama kawaida tayari kwa mechi.
Kwa mujibu wa chanzo hiki, Kilichofanyika usiku wa Leo ni milolongo ya hatua za kuwatoa wapinzani wao Mchezoni na kuhujumu mapato kwani inafikiriwa watazamaji wengi hawatojitokeza.
Pia itawafanya Yanga ku-relax kimaandalizi na hivyo kutoa advantage kwa Wekundu Hawa wa Msimbazi ambao wanahofia utayari wao kwa mchezo huu
Stay tuned
Alizuiwa kuomba ruksa ya kuutumia uwanjaMiaka yote ya mechi za watani,mwenyeji anakabidhiwa uwanja,mgeni anaingia uwanjani siku ya mechi akitokea mahali alipoweka kambi.Ndio maana hata meneja hakuwa na taarifa za wao kuja uwanjani. Hata Yanga hii nafasi ya kutumia huu uwanja kabla ya mechi round ya kwanza hakupewa, je hizo kanuni hazikuwepo, maana aliingia uwanjani akitokea Avic Town na mechi alicheza.
Kwa round ya kwanza wakati Yanga hakupewa nafasi hii hizo taratibu hazikuwepo?Nadhani ndo tumekumbushwa kwamba mazoea sio utaratibu.
Waliomba na hawakupewa.Alizuiwa kuomba ruksa ya kuutumia uwanja
Source: Trust meHicho chanzo muhimu ni kipi?
Hakupewi au hakutaka kuitumia hiyo kanuni?Kwa round ya kwanza wakati Yanga hakupewa nafasi hii hizo taratibu hazikuwepo?
Hawataki tena kuhamia Zanzibar?Magori kasema sio mechi tu Hadi ligi hawachezi mpk takataka ziadhibiwe
Aliomba ila hakupewa ruksa.Hakupewi au hakutaka kuitumia hiyo kanuni?
Waingize timu, maneno yasiwe mengiKama ni utayari wa mechi, nadhani Simba ilijipanga ikawa tayari zaidi kuliko Yanga. Hii ya Yanga kuzuia wapinzani wasifanye mazoezi ni ishara ya kutojiamini kutokuwa tayari kwa mechi
Simba ni mabogas Yanga Jesh kubwaMiaka yote ya mechi za watani,mwenyeji anakabidhiwa uwanja,mgeni anaingia uwanjani siku ya mechi akitokea mahali alipoweka kambi.Ndio maana hata meneja hakuwa na taarifa za wao kuja uwanjani. Hata Yanga hii nafasi ya kutumia huu uwanja kabla ya mechi round ya kwanza hakupewa, je hizo kanuni hazikuwepo, maana aliingia uwanjani akitokea Avic Town na mechi alicheza.
(Kila kinachosikika ni lazima kiletwe humu);
Kutoka chanzo muhimu, inasemekana kuwa licha ya barua Yao ya kutoshiriki derby ya Leo, kikosi Cha Simba kitapelekwa uwanjani kama kawaida tayari kwa mechi.
Kwa mujibu wa chanzo hiki, Kilichofanyika usiku wa Leo ni milolongo ya hatua za kuwatoa wapinzani wao Mchezoni na kuhujumu mapato kwani inafikiriwa watazamaji wengi hawatojitokeza.
Pia itawafanya Yanga ku-relax kimaandalizi na hivyo kutoa advantage kwa Wekundu Hawa wa Msimbazi ambao wanahofia utayari wao kwa mchezo huu
Stay tuned
Kuna hatua zozote alichukua baada ya kutopewa? Au zile za wabongo alimwachia mungu!!Aliomba ila hakupewa ruksa.
Mazoea sio utaratibu ukilijua hilo kauli hii haina maana.Kwa round ya kwanza wakati Yanga hakupewa nafasi hii hizo taratibu hazikuwepo?