toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
Sawa, wakikimbia hii itakuwa mara ya pili mara ya kwanza wakiongea halftime hawakurudi uwanjaniWakikujibu kwa kutumia sheria nitag kiongoz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa, wakikimbia hii itakuwa mara ya pili mara ya kwanza wakiongea halftime hawakurudi uwanjaniWakikujibu kwa kutumia sheria nitag kiongoz
Siku zote wamepiga tizi wanapopajua leo ndio waje kama mizimu na hii sababu, jaman match ichezwe kama Yanga tunafungwa tufungwe kiuhalali, sasa wanaogopa nini ?Kisheria game inatakiwa kuwepo ila ninachoona simba watasema hawajafanya mazoezi Kwa kuzuiwa kuingia means fitness hawapo tayari hapa ndio sheria inapobana:
Sheria inasema lazima upeleke timu uwanjani unless otherwise means kuna exception km vile ajali
Wajinga aina yako ndio mtaji mkubwa wa chama tawala nchini. Bila CCM kua na wajinga wengi wa aina yako basi ingekua imeshakufa zamani. Hivyo ccm inawahitaji sana wajinga wengi aina yako ili uendelee ku-survive madarakani.Sasa unafanya ni humu kama sio unafiki kama mtoto wa kike sitaki nataka nyingi, upo kwenye thread zaidi ya kumi za michezo unafuata nini wakati majukwaa ya siasa yapo. Unakuwa kama wanafiki wanaochukia nyama ya nguruwe huku mchuzi wake ukiutamani.
Kuna majukwa kibao wewe mwenye ,shobo zako zimekufanya uchague jukwaa hili la michezo kila uzi upo si uende majukwaa ya siasa,na sio hizi sitaki na taka kama binti huku ukiwa na unafiki mwingi.
Wajinga aina yako ndio mtaji mkubwa wa chama tawala nchini. Bila CCM kua na wajinga wengi wa aina yako basi ingekua imeshakufa zamani. Hivyo ccm inawahitaji sana wajinga wengi aina yako ili uendelee ku-survive madarakani.Mashabiki wa Simba ni mbumbumbu by Rage, kweli ni mbumbumbu
Sasa unafanya ni humu kama sio unafiki kama mtoto wa kike sitaki nataka nyingi, upo kwenye thread zaidi ya kumi za michezo unafuata nini wakati majukwaa ya siasa yapo. Unakuwa kama wanafiki wanaochukia nyama ya nguruwe huku mchuzi wake ukiutamani.Wajinga aina yako ndio mtaji mkubwa wa chama tawala nchini. Bila CCM kua na wajinga wengi wa aina yako basi ingekua imeshakufa zamani. Hivyo ccm inawahitaji sana wajinga wengi aina yako ili uendelee ku-survive madarakani.
Umekumbushwa sasaSasa unamwambia nani?. maana haya mazoea waliyo yajenga ni wao wenyewe watani.Ndio maana hata huyo meneja wa uwanja alijua ndio utaratibu wenu kwenye mechi zenu,kama kulikuwa na mabadiliko mngemwambia meneja.
Umekumbushwa sasa
Sawa mkuu... Ahsante kwa muda wakoView attachment 3263417
Sasa mmemkubusha nani? Kwa hiyo hizo kanuni mmeanaza kuzijua jana.
Ni mimi MangunguHicho chanzo muhimu ni kipi?