Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
Usibishe usichokijua Mzee. Yanga ana points 20 alizozichukua msimu huu pekee. Miaka minne nyuma yote ni 0.Hili neno "ndani ya msimu mmoja" linafanya uonekane mpumbavu, Yanga haijafika hapo kwa msimu mmoja.
