Simba kuanzia Hatua ya 2 CAFCL, kukutana na mshindi wa mechi kati ya Power Dynamos na African Stars

Simba kuanzia Hatua ya 2 CAFCL, kukutana na mshindi wa mechi kati ya Power Dynamos na African Stars

Kaizer aliwakanda nyie na akamkanda Mme wenu wydad Casablanca nusu Fainali akatua Fainali ambayo hamtakuja kucheza Hadi yesu anarudi
Watu wanawaza Champion League na SuperCup. Wewe unawaza Shirikisho (kombe la wachovu)
Ilikuwa msimu ule kwenye kombe la wachovu. Hao Kaizer tungekutana nao Champion League wangetutambua sisi ni nani?
Timu bora na zilizofanya vizuri zinacheza African Super Cup. Yanga anacheza SuperCup?
 
Unacheza shirikisho na wewe ushakuwa bingwa? Unacheza shirikisho (kombe la wachovu) unamvimbia aliyecheza champion league robo fainali?
Kama yanga alifanya vizuri kuliko Simba kwanini Yanga hayupo African Super Cup?
Sasa hivi hakuna kujilegeza ukacheze shirikisho, tubaki wote tucheze Champion league.
Mkuu mbona maelezo mengiii SANA...Tena hayahusiani na nilichokisema[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unaweza Kuta nawe ni mwanasheria wa serekale[emoji2][emoji2]
 
Wanachi hadi hapo hakuna wakutuzuia ndio maana kwa pamoja tunasema hii imeenda.....!
 
Mkuu mbona maelezo mengiii SANA...Tena hayahusiani na nilichokisema[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unaweza Kuta nawe ni mwanasheria wa serekale[emoji2][emoji2]
Kwa hiki ulichoandika. Hauna tofauti na mwanafunzi wa darasa la pili anayejifunza kuandika. Haujazingatia kanuni za uandishi.
Kwa uandishi huu, utakuta nawe ni msomi kwenu.
Pole sana
 
Unacheza shirikisho na wewe ushakuwa bingwa? Unacheza shirikisho (kombe la wachovu) unamvimbia aliyecheza champion league robo fainali?
Kama yanga alifanya vizuri kuliko Simba kwanini Yanga hayupo African Super Cup?
Sasa hivi hakuna kujilegeza ukacheze shirikisho, tubaki wote tucheze Champion league.
Wewe ulijilegeleza kwa Makiri kiri?
 
[emoji196][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sisi UTO tunaanzia mchangani
 
Simba anacheza na timu ambazo zipo champion league tu. Huyo Kaizer chiefs alikuwepo Champion League mpk robo fainal au aliishia kucheza mechi mbili kama utopolo? Mgecheza na Wyadad aliyemtoa Simba km mlikuwa mnataka kumuoneshea Simba
Umesikia kanuni za CAF? Mtaishia kucheza mechi mbili kama msimu uliopita?
Big Bullet alifungwa na Simba nje ndani Champion League halafu nyie mkaona mepata neema sana.
Tarehe 18 Champion League hiyo. Yanga anatamani awe mshindi wa 3 akacheze shirikisho tena, msimu ujao unaweza kushangaa Yanga anakuwa wa 3 ligi ya home akacheze shirikisho.
Yanga SuperCup anacheza?
Tukumbushe mtoano kati yenu na Kaizer Chiefs!
 
Back
Top Bottom