Simba kuanzia Hatua ya 2 CAFCL, kukutana na mshindi wa mechi kati ya Power Dynamos na African Stars

Simba kuanzia Hatua ya 2 CAFCL, kukutana na mshindi wa mechi kati ya Power Dynamos na African Stars




CAF: SIMBA KUANZIA RAUNDI YA PILI, YANGA KUIVAA TELECOM DJIBOUTI
Droo ya Ligi ya Mabingwa Afrika imepangwa, Simba itaanzia Raundi ya Pili kwa kucheza na mshindi wa mechi kati ya Power Dynamos (Zambia) dhidi ya African Stars (Namibia)

Yanga itaanzia Raundi ya Kwanza kwa kukipiga na ASAS ya Djibouti, timu itakayoshinda itaingia Raundi ya Pili na kukutana na timu itakayoshinda kati ya Otoho ya Congo dhidi ya Al Merrikh ya Sudan

KMKM ya Zanzibar itaanzia Raundi ya Kwanza kwa kukipiga na #StGeorge ya Ethiopia, mshindi wa hapo atacheza dhidi ya Bingwa Mtetezi #AlAhly ya Misri

Mechi za Raundi ya Kwanza zitachezwa Agosti 18–19 na marudio ni Agosti 25–26, 2023, Raundi ya Pili ni Septemba 15–16 na marudio ni Septemba 29–30, 2023, baada ya hapo inafuata Hatua ya Makundi

Very tough draw for simba
 
Baada ya kutoka nafasi ya sabini na Hadi kumi na nane ndani ya nsimu mmoja. Wananchi wamepangwa na timu za kawaida sana na. Game zote wanamalizia nyumbani
Mbona taarifa ipo nusu nusu.. anacheza na Nani ? Lini?
 
We mkia bila kuitaja Yanga mabingwa wa nchi husikii Raha
Unacheza shirikisho na wewe ushakuwa bingwa? Unacheza shirikisho (kombe la wachovu) unamvimbia aliyecheza champion league robo fainali?
Kama yanga alifanya vizuri kuliko Simba kwanini Yanga hayupo African Super Cup?
Sasa hivi hakuna kujilegeza ukacheze shirikisho, tubaki wote tucheze Champion league.
 
Acha niwagoogle hao ASAS



CAF: SIMBA KUANZIA RAUNDI YA PILI, YANGA KUIVAA TELECOM DJIBOUTI
Droo ya Ligi ya Mabingwa Afrika imepangwa, Simba itaanzia Raundi ya Pili kwa kucheza na mshindi wa mechi kati ya Power Dynamos (Zambia) dhidi ya African Stars (Namibia)

Yanga itaanzia Raundi ya Kwanza kwa kukipiga na ASAS ya Djibouti, timu itakayoshinda itaingia Raundi ya Pili na kukutana na timu itakayoshinda kati ya Otoho ya Congo dhidi ya Al Merrikh ya Sudan

KMKM ya Zanzibar itaanzia Raundi ya Kwanza kwa kukipiga na #StGeorge ya Ethiopia, mshindi wa hapo atacheza dhidi ya Bingwa Mtetezi #AlAhly ya Misri

Mechi za Raundi ya Kwanza zitachezwa Agosti 18–19 na marudio ni Agosti 25–26, 2023, Raundi ya Pili ni Septemba 15–16 na marudio ni Septemba 29–30, 2023, baada ya hapo inafuata Hatua ya Makund
 
Hamna uwezo wa kucheza na timu za South [emoji28]
Simba anacheza na timu ambazo zipo champion league tu. Huyo Kaizer chiefs alikuwepo Champion League mpk robo fainal au aliishia kucheza mechi mbili kama utopolo? Mgecheza na Wyadad aliyemtoa Simba km mlikuwa mnataka kumuoneshea Simba
Umesikia kanuni za CAF? Mtaishia kucheza mechi mbili kama msimu uliopita?
Big Bullet alifungwa na Simba nje ndani Champion League halafu nyie mkaona mepata neema sana.
Tarehe 18 Champion League hiyo. Yanga anatamani awe mshindi wa 3 akacheze shirikisho tena, msimu ujao unaweza kushangaa Yanga anakuwa wa 3 ligi ya home akacheze shirikisho.
Yanga SuperCup anacheza?
 
Simba anacheza na timu ambazo zipo champion league tu. Huyo Kaizer chiefs alikuwepo Champion League mpk robo fainal au aliishia kucheza mechi mbili kama utopolo? Mgecheza na Wyadad aliyemtoa Simba km mlikuwa mnataka kumuoneshea Simba
Umesikia kanuni za CAF? Mtaishia kucheza mechi mbili kama msimu uliopita?
Big Bullet alifungwa na Simba nje ndani Champion League halafu nyie mkaona mepata neema sana.
Tarehe 18 Champion League hiyo. Yanga anatamani awe mshindi wa 3 akacheze shirikisho tena, msimu ujao unaweza kushangaa Yanga anakuwa wa 3 ligi ya home akacheze shirikisho.
Yanga SuperCup anacheza?
Kaizer aliwakanda nyie na akamkanda Mme wenu wydad Casablanca nusu Fainali akatua Fainali ambayo hamtakuja kucheza Hadi yesu anarudi
 
Back
Top Bottom