Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Hahaha............Kumradhi Mkuu wangu, ila sijafikia level ya Prof. MrumaHuna tofauti na profesa mruma
Mhe. Lissu alisema andiko lake lilikuwa ni Proffesserior Rubbish
Kwa hiki kinachoendelea kule Mahakamani, tunatakiwa Kumpa Udaktari wa Heshima Mhe. Lissu kwa kuona vitu vya mbele kabla yetu. š