Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara ya mwisho Enyimba amefika nusu fainali ni lini? hio brand ya history labdaNenda ka google maana ya Brand ni nini ?
Enyimba imechelewa sana kuanzishwa kuliko timu zote hizo ila bado imezizidi mafanikio
Nimekuuliza Mamelodi, Simba, Horoya wanamzidi nini enyimba kwa mafanikio barani Africa umeshindwa kujibu.
Timu hata kujenga viwanja vyake zimeshindwa uzifaninishe na Enyimba kwa brand kubwa Timu ambayo imetwaa ubingwa wa Africa zaidi ya mara moja.. na nusu fainali za kutosha na inacheza mechi zake kwenye uwanja wake unaomilikiwa na club yenyewe
Mara ya mwisho Enyimba amefika nusu fainali ni lini? hio brand ya history labda
Takataka hiyo.Yanga vp
Acha uongo mkuu? Enyimba wamechukua nafasi ya Horoya kama timu mwakili kwenye African football league toka ukanda wa magharibi na sio nafasi ya Al Hilal kama ulivyoelezaItoe horoya hapo haishiriki super league na Enyimba alichukua nafasi ya Al hilal ya sudani cause ya mchafuko.
Kumbe unazumzia history sio current from2018 amefika semi final ya mwisho na katika kujitafuta kafika robo 2020
Na wewe Jibu swali langu. Mamelodi, simba na horoya wanamzidi nini enyimba ?
Tuseme wao ni brand kubwa kuliko Enyimba
Bila kuwepo yanga hii list ni batili. Haiwezekani robo robo fc waanzie raundi ya pili, wakati sisi finalist tuanzie mchangani.Timu kumi [10] zitakazoanzia 2nd Round yani hatua ya mwisho kwenda Makundi CAFCL 2023/24.
1. Al Ahly SC 🇪🇬
2. Wydad AC 🇲🇦
3. Esperance 🇹🇳
4. Mamelodi Sundowns 🇿🇦
5. Simba SC🇹🇿
6. Petro 🇦🇴
7. Tp Mazembe🇨🇩
8. Enyimba 🇳🇬
9. CR Belouizdad 🇩🇿
10. Pyramid FC 🇪🇬
Kumbe unazumzia history sio current from
We jamaa umezidiwa hoja Hadi naona aibu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2957]Kumbe unazumzia history sio current from
Kuna matimu mengi tuu ya kisenge kuanzia namba 5 Hadi 10 ni matakataka hakuna Timu hapo
Wakati alikuwa chupu chupu kushuka daraja..ila msimu uliopita huko kwa looser kweli kulikuwa na timu mizigoIna maana hata bingwa wa Shirikisho hana thamani ya kuukwepa mtoano 🤣
Enyimba anashiriki,timu 8 ya super league
Pot 1
Al Ahly,Wydad,Esperance na Mamelody
Pot 2
TP Mazembe,Simba,Petro Luanda na Enyimba
Ina maana hata bingwa wa Shirikisho hana thamani ya kuukwepa mtoano [emoji1787]
Mtu unacheza na USM Alger na anakufunga kwako hivi kwelWana fainali mbona hapo hawaonekani?
Au ndio John Cena style?
acheni kuchanganyikiwa huyo bingwa wa Africa mara mbiliEnyimba ni timu kongwe ila sio kubwa
Umezisahau Zalan FC, Marumo Gallants, Real bamako na mbabe waoHamna cha kaizer Chief...monastir, ..USM ULGERS...
hiv unaijua zamaleki ya sas horoya mwisho wake huwa makundiKuanzia namba 5 Hadi 10 ni Timu za kisenge tuu Wala hazina maajabu yeyote eg Petro atletico,Enyiemba,Simba nk
Unaacha Timu kama Horoya,Zamalek nk