ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kwenye matimu ya kuanzia namba 5 Hadi 10 Timu 3 ndio zipo top 10 tuu.hiv unaijua zamaleki ya sas horoya mwisho wake huwa makundi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye matimu ya kuanzia namba 5 Hadi 10 Timu 3 ndio zipo top 10 tuu.hiv unaijua zamaleki ya sas horoya mwisho wake huwa makundi
Enyimba hayupo super league, Horoya yupoYa horoya
Horoya yupo, Enyimba hayupoItoe horoya hapo haishiriki super league na Enyimba alichukua nafasi ya Al hilal ya sudani cause ya mchafuko.
Enyimba hayupo super leagueEnyimba anashiriki,timu 8 ya super league
Pot 1
Al Ahly,Wydad,Esperance na Mamelody
Pot 2
TP Mazembe,Simba,Petro Luanda na Enyimba
Enyimba hayupo super leagueEnyimba super league lazima ashiriki.
CAF wanapenda timu kubwa ama brand kubwa.
Enyimba ni brand kubwa kwa mpira wa Africa.
Mamelodi na ujanja wake wote hamfikii enyimba kwa mafanikio Africa.
Super league bila Enyimba haiwezekani maana ni timu kubwa sana ki Brand
Enyimba hayupo super league
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sina shaka hizo ni hujuma za TFF na Karia wake, ili kuikomoa timu pendwa ya mama Sir100!
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bila kuwepo yanga hii list ni batili. Haiwezekani robo robo fc waanzie raundi ya pili, wakati sisi finalist tuanzie mchangani.
Enyimba hayupo super league, Horoya yupo