GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Kyombo asepe bora ya boccoNgoja tuone kama atakuwa ni mbadala sahihi wa Bocco au ndio kama Kyombo
Halafu Kyombo hivi hatapewa Thank you kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kyombo asepe bora ya boccoNgoja tuone kama atakuwa ni mbadala sahihi wa Bocco au ndio kama Kyombo
Halafu Kyombo hivi hatapewa Thank you kweli?
Siku Ingine.Afu Miquisson?
Kyombo ni galasa proNgoja tuone kama atakuwa ni mbadala sahihi wa Bocco au ndio kama Kyombo
Halafu Kyombo hivi hatapewa Thank you kweli?
Afu Miquisson?
na sisi yanga tunasajili 3 na msuva yumoUnadhani katika hao watatu ni wachezaji gani ambao unawapa karata ya kutia saini?
Najua katika hizo sajili lazima lihusishe eneo la goal keeping.
Kwangu nampa asilimia kubwa Luis Miquisson kutua. Na huyu lazima awe wa mwisho kutambulishwa
Unalizima huku unaliongeleaKisha kesho na jmosi tunakuja kuzima kabisa bonanza la Uto. Hatujamalizaaaa
Huyu dogo boli anajua ila sijui nini kilimpata
Hatuna hata habari na kibeg,tuko busy kujua ni lilepo makabi au lamine jarjou,msuva hatuna wasi maana ndio atakua wa mwisho kutangazwa 🤣Unajua mashabiki wengine wa Yanga mpaka leo hawajui kuwa keshokutwa wana kipaimara kwasababu ya kibegi?
Hakunaga mtu anaeitwa Idd Nado Chilunda.Unadhani katika hao watatu ni wachezaji gani ambao unawapa karata ya kutia saini?
Najua katika hizo sajili lazima lihusishe eneo la goal keeping.
Kwangu nampa asilimia kubwa Luis Miquisson kutua. Na huyu lazima awe wa mwisho kutambulishwa.
**********
Update
16:30
Simba imekamikisha usajili wa mshambuliaji Iddi Nado Chilunda (25) raia wa TanzaniaView attachment 2694406
👍🏾👍🏾👍🏾Mkuu niliji less
Hatuna hata habari na kibeg,tuko busy kujua ni lilepo makabi au lamine jarjou,msuva hatuna wasi maana ndio atakua wa mwisho kutangazwa 🤣