Unadhani katika hao watatu ni wachezaji gani ambao unawapa karata ya kutia saini?
Najua katika hizo sajili lazima lihusishe eneo la goal keeping.
Kwangu nampa asilimia kubwa Luis Miquisson kutua. Na huyu lazima awe wa mwisho kutambulishwa.
**********
Update
16:30
Simba imekamikisha usajili wa mshambuliaji Shaaban Iddi Chilunda (25) raia wa Tanzania
View attachment 2694406
Update
19:00
Simba imekamilisha usajili wa kiungo mkabaji Abdallah Hamis.
Awali alikuwa kwenye Club ya Muhoroni nchini Kenya.
Ni mtanzania mzaliwa wa Tarime huu ni usajili mbadala wa Mkude baada ya kuondoka Simba.
View attachment 2694512