Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Mbu3KABWILI FC
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbu3KABWILI FC
Ila hii sababu ya kuachana na Kipa Mbrazil mmetupanga. Lugha!!?Mwanzo kulikuwa na tetesi za Simba kuwa katika mazungumzo na kipa mbrazil Caique da Santos.
Lakini baadaye zikaja taarifa (ambazo ni tetesi pia) kuwa Simba imeachana na dili la kumsajili mlinda mlango huyo.
Inadaiwa huyu ni kipa ambaye alikuwa preferred na Rorbetinho.
Sababu za kusitisha dili na mchezaji huyo zinatajwa kuwa ni lugha.
Mchezaji anazungumza kireno na kiingereza ni kwa shida hivyo management ikaona kutakuwa na shida ya mawasiliano kati yake na mabeki.
Spain alikua anacheza first eleven, akaenda Morocco, akarudi Azam bado mambo magumu ngoja tuone na wish arudi kwenye form mimi ni fan wakeFlopping ni kawaida
Ila ngoja tumuone kama ataweza kuonesha kitu.
Huyu alishasahau na mpira kabisaUnadhani katika hao watatu ni wachezaji gani ambao unawapa karata ya kutia saini?
Najua katika hizo sajili lazima lihusishe eneo la goal keeping.
Kwangu nampa asilimia kubwa Luis Miquisson kutua. Na huyu lazima awe wa mwisho kutambulishwa.
**********
Update
16:30
Simba imekamikisha usajili wa mshambuliaji Shaaban Iddi Chilunda (25) raia wa TanzaniaView attachment 2694406
Hivi mshaona Kaizer Chiefs ni ya kusajili wale walioshindwa kucheza mpira?Jana kulikuwa na tetesi kuwa anaenda South kwa Kaizer Chiefs ila manager wake amepinga kuwa hakuna mawasiliano yoyote yaliyofanyika kati ya Kaizer Chiefs na yeye
Hata hivyo hela hawanaHivi mshaona Kaizer Chiefs ni ya kusajili wale walioshindwa kucheza mpira?
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Nimekuelewa Mkuu, ni tetesi.Ndio tetesi zinavyodai
Ataziba pengo la mkude?Abdallah HamisView attachment 2694500
Naomba wasifu wake kidogoAbdallah HamisView attachment 2694500
Huyu Abdalla Isamili katokea timu gani,sio maarufu huyu?Abdallah HamisView attachment 2694500
Huyo Shaban Idd Chilunda, umri wake umesimama, au!! Tangu aanze kucheza mpira, havuki tu miaka 20+!!!!Unadhani katika hao watatu ni wachezaji gani ambao unawapa karata ya kutia saini?
Najua katika hizo sajili lazima lihusishe eneo la goal keeping.
Kwangu nampa asilimia kubwa Luis Miquisson kutua. Na huyu lazima awe wa mwisho kutambulishwa.
**********
Update
16:30
Simba imekamikisha usajili wa mshambuliaji Shaaban Iddi Chilunda (25) raia wa TanzaniaView attachment 2694406
Alianzia Tarime United akatoka akaenda Tarime WarriorsNaomba wasifu wake kidogo
20+ tangu mwaka gani?Huyo Shaban Idd Chilunda, umri wake umesimama, au!! Tangu aanze kucheza mpira, havuki tu miaka 20+!!!!
Mbumbumbu ni mbumbumbu ndugu yangu,yanajazana ujinga ligi ikianza na yakaanza kupakatwa yanaanza kutukananaHivi mshaona Kaizer Chiefs ni ya kusajili wale walioshindwa kucheza mpira?
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app