Simba kufanya sajili tatu saa 10:30, 1:00 na saa 2:00

Simba kufanya sajili tatu saa 10:30, 1:00 na saa 2:00

Mwanzo kulikuwa na tetesi za Simba kuwa katika mazungumzo na kipa mbrazil Caique da Santos.

Lakini baadaye zikaja taarifa (ambazo ni tetesi pia) kuwa Simba imeachana na dili la kumsajili mlinda mlango huyo.

Inadaiwa huyu ni kipa ambaye alikuwa preferred na Rorbetinho.

Sababu za kusitisha dili na mchezaji huyo zinatajwa kuwa ni lugha.

Mchezaji anazungumza kireno na kiingereza ni kwa shida hivyo management ikaona kutakuwa na shida ya mawasiliano kati yake na mabeki.
Ila hii sababu ya kuachana na Kipa Mbrazil mmetupanga. Lugha!!?
 
Unadhani katika hao watatu ni wachezaji gani ambao unawapa karata ya kutia saini?

Najua katika hizo sajili lazima lihusishe eneo la goal keeping.

Kwangu nampa asilimia kubwa Luis Miquisson kutua. Na huyu lazima awe wa mwisho kutambulishwa.

**********

Update

16:30

Simba imekamikisha usajili wa mshambuliaji Shaaban Iddi Chilunda (25) raia wa TanzaniaView attachment 2694406
Huyu alishasahau na mpira kabisa

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Jana kulikuwa na tetesi kuwa anaenda South kwa Kaizer Chiefs ila manager wake amepinga kuwa hakuna mawasiliano yoyote yaliyofanyika kati ya Kaizer Chiefs na yeye
Hivi mshaona Kaizer Chiefs ni ya kusajili wale walioshindwa kucheza mpira?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
.....
Screenshot_20230617-183920_YouTube.jpg
 
Unadhani katika hao watatu ni wachezaji gani ambao unawapa karata ya kutia saini?

Najua katika hizo sajili lazima lihusishe eneo la goal keeping.

Kwangu nampa asilimia kubwa Luis Miquisson kutua. Na huyu lazima awe wa mwisho kutambulishwa.

**********

Update

16:30

Simba imekamikisha usajili wa mshambuliaji Shaaban Iddi Chilunda (25) raia wa TanzaniaView attachment 2694406
Huyo Shaban Idd Chilunda, umri wake umesimama, au!! Tangu aanze kucheza mpira, havuki tu miaka 20+!!!!
 
Naomba wasifu wake kidogo
Alianzia Tarime United akatoka akaenda Tarime Warriors

Akatoka akaenda Stand United na baadaye akaenda Kenya kwenye timu ya Muhoroni ila alikuwa kwenye timu ya vijana.

Baada ya muda alipandishwa kwenda timu ya wakubwa.
 
Hawa waliosajiliwa na mikia wasije na mabegi makubwa,makolo tunawajua huu ni utaratibu wao wa kila mwaka
 
Back
Top Bottom