Simba kufanya sajili tatu saa 10:30, 1:00 na saa 2:00

20+ tangu mwaka gani?

Maana nyie Yanga maswala ya kuhesabu tunajua yanawapiga sana chenga na ndio maana Zakazakazi alikuja kuweka sawa baadhi ya mambo
Mambo gani?umeamini ule ujinga ambao hata kichaa hawezi kukubali? mbumbumbu ni mbumbumbu
 
Mambo gani?umeamini ule ujinga ambao hata kichaa hawezi kukubali? mbumbumbu ni mbumbumbu
Kwa hoja gani ambayo inifanye nisiamini?

Na kwa hoja gani ambayo inifanye niwaamini nyinyi?
 
1.Nusuchuma Nusumtu.2.Kifaru cha kinyarwanda(Gere boy) 3.Mkude😂😂😂
 
Spain alikua anacheza first eleven, akaenda Morocco, akarudi Azam bado mambo magumu ngoja tuone na wish arudi kwenye form mimi ni fan wake
Vyuma wabongo unapigwa kitu kl unapoenda hakuna anaeona uyafanyayo unaonekana kiazi tu...anabahati hatakuwepo simba
 
Yaani watu wanakaa mpaka saa sita usiku kusubiria utambulisho wa mchezaji wa zamani wa Muhoroni ya Kenya, vitu vingine ni kupotezeana muda.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…