Simba kwanini kiingilio kisingekuwa elfu kumi kama Yanga??

Simba kwanini kiingilio kisingekuwa elfu kumi kama Yanga??

Mimi ni mwanachama kabisa wa Simba sio Tu shabiki...
Naona kama lengo lilikuwa kuonesha uwezo wa Simba kujaza uwanja ...kulinganisha na Yanga ambao walishindwa ...Simba wangeweka kiingilio sawa sawa na Yanga ..... kiingilio cha elfu 10 minimum....

Hapo sasa ingekuwa nafasi nzuri ya kuonesha watu Simba ina mashabiki wa kujaza Uwanja bila kujali kiingilio....

Nafikiri hata uwanja ukijaa Hadi mwisho kabisa mradi kiingilio ni nusu ya walichoweka Yanga ...sioni kama ni jambo la kujivunia Sana...

Nafikiri ..next time hili swala litazamwe . Uwanja usilazimishwe kujaa Kwa kiingilio cha chini...

Yanga walitest soko Kwa elfu kumi wakashindwa....Simba wawe wa Kwanza Tanzania Kwa kujaza Uwanja Kwa elfu kumi....hili liwe sehemu ya malengo..timu ipate hela pia sio sifa za kujaza Uwanja tu
Yanga walifungulia mbwa na uwanja haukujaa.
Usidanganywe na hiyo elfu 10.
Zilinunuliwa tiketi za bure nyingi na bado watu wahakuja uwanjani.
 
Bahati Mbaya Mashabiki na VIONGOZI wengi wa hizi timu hupenda kuzilinganisha.

Hizi timu zimekuwa changamoto mno kwenye hili Taifa
Kila Baada ya dakika Tano Simba yanga.

Kila timu ifanye yake.
NB.
NATAMANI HIZI TIMU ZIFE KABISA, KUPUNGUZA IDADI YA MACHIZI SOKA.
Kuna Singapore Big Stars, Ihefu, Azam na Namungo, hizi timu ni balaa jipya mjini! Mpira upo!
Marefa wasipopewa bahasha Yanga na Simba hawatoboi!
Ngoja tuone msimu huu!
 
Simba haishindani na Yanga kaka,nildio maana Yanga akipokea wapimzani simba halipizi hilo.
 
Back
Top Bottom