Simba mmekubali kuingia kwenye huu mtego, Yanga hakuna mgogoro

Simba mmekubali kuingia kwenye huu mtego, Yanga hakuna mgogoro

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Ndo maana ninamkubali Eng Hersi Said. Yaani kaona Usajili wa 5imba ni WA umakini, akaona watatusubua kidogo hatutawapiga magoli mengi.

Nawatahadharisha tarehe 8 sio mbali, Mtapigwa 8. Na itakuwa nane nane

1. Jiulizeni mahakama ilitoa hiyo jukumu zamani, kwanini iibuke Leo mechi ikiwa karibu😄😅 Bado weeks 2 tu.
Na kesi iliisha 2022

2 Na Eng Hersi Said akitoka ofsini atabaki kiongozi Gani? Yaani team itakuwa bila viongozi😅😆

Mahakama imeamuri uchaguzi itafanyika tarehe 15 August kama wanavodai katiba ifuatwe na bila shaka Eng Hersi Said atashinda Kwa kishindo Sasa mnaufurahia lipi

Hii ni danganya toto
Mbumbumbu mnadhani Yanga Kuna mgogoro kumbe ni mgogoro fake.

Sasa tarehe 8 njoo na hizo fikiria kuwa Yanga Kuna mgogoro tutawapiga kama ngoma
 
Udugu umala ubaya ubwela,, kesho mapema tu tusikute mtu ofisini
1721165224574.jpg
 
Sema inahitaji kujitoa akili kuamini Rais wa klabu mwanachama wa TFF ambaye ni mwanachama wa FIFA anaondolewa madarakani na mahakama ya kiraia.

Wambura alishinda kesi mahakamani na Wallace Karia akamlamba kifungo cha maisha..

Hili jambo mnaolishabikia soon linaenda kuwavua nguo kama lilivyowavua nguo sakata la Aziz Ki.
 
Sema inahitaji kujitoa akili kuamini Rais wa klabu mwanachama wa TFF ambaye ni mwanachama wa FIFA anaondolewa madarakani na mahakama ya kiraia.

Wambura alishinda kesi mahakamani na Wallace Karia akamlamba kifungo cha maisha..

Hili jambo mnaolishabikia soon linaenda kuwavua nguo kama lilivyowavua nguo sakata la Aziz Ki.
Yaani hizo akili hawana
 
Na Eng Hersi Said akitoka ofsini atabaki kiongozi Gani? Yaani team itakuwa bila viongozi😅😆
Sasa hilo sio suala la Simba wala Mahakama, ni kwamba hukumu inasema hawastahili kuwepo na hata kuitisha press kwenye ofisi za Yanga au kwa nembo ya Yanga. Uhamiaji wakikuambia wewe si raia wa Tanzania, hawana jukumu la kukuambia wewe ni raia wa nchi gani nyingine au uende wapi, ni kwamba unapewa masaa 48 kuondoka nchini.
 
Sasa hilo sio suala la Simba wala Mahakama, ni kwamba hukumu inasema hawastahili kuwepo na hata kuitisha press kwenye ofisi za Yanga au kwa nembo ya Yanga. Uhamiaji wakikuambia wewe si raia wa Tanzania, hawana jukumu la kukuambia wewe ni raia wa nchi gani nyingine au uende wapi, ni kwamba unapewa masaa 48 kuondoka nchini.
Hiyo kesi iliamriwa mwaka 2022 Leo 2024 ndo mtarajie maajabu.
Saa 8 waandishi wa habari watajaa saa 8 na tutafanya zoezi la kutambulisha jezi
 
Aliyeshtaki wazee wa Yanga
Aliyeshtakiwa viongozi wa Yanga
Wanaokatikia mdundo mashabiki wa Yanga
Simba anahusikaje? Sisi tunapopukn tu tunatafuna.
 
Aliyeshtaki wazee wa Yanga
Aliyeshtakiwa viongozi wa Yanga
Wanaokatikia mdundo mashabiki wa Yanga
Simba anahusikaje? Sisi tunapopukn tu tunatafuna.
Pole subiria mkutano saa na waandishi wa habari ushuhudie jezi mpya za msimu.

Jezi yetu ishaenda mjini kilazima hiyo
 
Back
Top Bottom