Simba mmekubali kuingia kwenye huu mtego, Yanga hakuna mgogoro

Simba mmekubali kuingia kwenye huu mtego, Yanga hakuna mgogoro

Kama ni Hivyo mahakama ndo imeingia kwenye mtego wa huyo Bwana Yako Eng: Hersi unayedhani ana akili Sana, na siyo Simba Kwa sababu hakuna mwana Simba yeyote aliyeenda kisutu kushataki juu ya uhalali wa BWANA Yako kuingia kinyemela hapo utopoloni!
Acha hasira
Kunywa maji mengi
Mbumbumbu.
 
Acha hasira
Kunywa maji mengi
Mbumbumbu.Sina hasira mie Mrs Hersi huenda Kwa kuamini BWANA Yako ni master na akili nying kiasi hicho Hadi kuwaamisha Simba kwenye Ajenda zao ndo maana ndoa yenu imedumu Hadi leo
 
Unapenda mambo ya kuolewa?

Kaolewe Sasa, kwani nimekuzuia
 
mnadhani Yanga Kuna mgogoro kumbe ni mgogoro fake.
Haya sasa tuonyeshe jezi zilizozinduliwa 🤣 🤣 🤣

1721220425928.png
 
Ndo maana ninamkubali Eng Hersi Said. Yaani kaona Usajili wa 5imba ni WA umakini, akaona watatusubua kidogo hatutawapiga magoli mengi.

Nawatahadharisha tarehe 8 sio mbali, Mtapigwa 8. Na itakuwa nane nane

1. Jiulizeni mahakama ilitoa hiyo jukumu zamani, kwanini iibuke Leo mechi ikiwa karibu😄😅 Bado weeks 2 tu.
Na kesi iliisha 2022

2 Na Eng Hersi Said akitoka ofsini atabaki kiongozi Gani? Yaani team itakuwa bila viongozi😅😆

Mahakama imeamuri uchaguzi itafanyika tarehe 15 August kama wanavodai katiba ifuatwe na bila shaka Eng Hersi Said atashinda Kwa kishindo Sasa mnaufurahia lipi

Hii ni danganya toto
Mbumbumbu mnadhani Yanga Kuna mgogoro kumbe ni mgogoro fake.

Sasa tarehe 8 njoo na hizo fikiria kuwa Yanga Kuna mgogoro tutawapiga kama ngoma
Piga pull ulale
 
Kimsingi huyu Mzee anataka Yanga ifuate mfumo wa uongozi kama wa Simba na ana hoja nzito sana. Ni suala la muda tu kabla halijatekelezwa.
Sahau yaani Yanga ifate mfumo wa Mangungu
 
Sahau yaani Yanga ifate mfumo wa Mangungu
Save hii post. Hilo linaenda kufanyika. Mzee wenu alishinda kesi ila hakuwa na haraka ya kuwasilisha ushindi wake ili utekelezwe. Wahuni wamefukunyua wakaweka hadharani bila idhini yake.
 
Back
Top Bottom