Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Hayo ni masuala ya dimbwini.Pole subiria mkutano saa na waandishi wa habari ushuhudie jezi mpya za msimu.
Jezi yetu ishaenda mjini kilazima hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo ni masuala ya dimbwini.Pole subiria mkutano saa na waandishi wa habari ushuhudie jezi mpya za msimu.
Jezi yetu ishaenda mjini kilazima hiyo
Jambo ni lenu alafu avuliwe simba shabiki wa simba? Nyie pambanane na mambo yenu sisi tunatizama tu mnavyo paruranaSema inahitaji kujitoa akili kuamini Rais wa klabu mwanachama wa TFF ambaye ni mwanachama wa FIFA anaondolewa madarakani na mahakama ya kiraia.
Wambura alishinda kesi mahakamani na Wallace Karia akamlamba kifungo cha maisha..
Hili jambo mnaolishabikia soon linaenda kuwavua nguo kama lilivyowavua nguo sakata la Aziz Ki.
Hahahaha.Una shauku ya kuona Uzi mpya wa Yanga?
Saa 8 hata 5imba pelekeni camera 📸 zenu
Wewe jamaa unakula kaya nini,wapi nimeitaja Simba?Jambo ni lenu alafu avuliwe simba shabiki wa simba? Nyie pambanane na mambo yenu sisi tunatizama tu mnavyo parurana
Huenda kukawa na ukweli kuhusu hili, maana hata Mzee Magoma mwenyewe ameanza kukana kuhusishwa na hiyo hukumu.Ndo maana ninamkubali Eng Hersi Said. Yaani kaona Usajili wa 5imba ni WA umakini, akaona watatusubua kidogo hatutawapiga magoli mengi.
Nawatahadharisha tarehe 8 sio mbali, Mtapigwa 8. Na itakuwa nane nane
1. Jiulizeni mahakama ilitoa hiyo jukumu zamani, kwanini iibuke Leo mechi ikiwa karibu😄😅 Bado weeks 2 tu.
Na kesi iliisha 2022
2 Na Eng Hersi Said akitoka ofsini atabaki kiongozi Gani? Yaani team itakuwa bila viongozi😅😆
Mahakama imeamuri uchaguzi itafanyika tarehe 15 August kama wanavodai katiba ifuatwe na bila shaka Eng Hersi Said atashinda Kwa kishindo Sasa mnaufurahia lipi
Hii ni danganya toto
Mbumbumbu mnadhani Yanga Kuna mgogoro kumbe ni mgogoro fake.
Sasa tarehe 8 njoo na hizo fikiria kuwa Yanga Kuna mgogoro tutawapiga kama ngoma
Yaani ushabik wa kitoto huu sasa kwa hio apo unaona una point za kutetea utumbo wakoNdo maana ninamkubali Eng Hersi Said. Yaani kaona Usajili wa 5imba ni WA umakini, akaona watatusubua kidogo hatutawapiga magoli mengi.
Nawatahadharisha tarehe 8 sio mbali, Mtapigwa 8. Na itakuwa nane nane
1. Jiulizeni mahakama ilitoa hiyo jukumu zamani, kwanini iibuke Leo mechi ikiwa karibu😄😅 Bado weeks 2 tu.
Na kesi iliisha 2022
2 Na Eng Hersi Said akitoka ofsini atabaki kiongozi Gani? Yaani team itakuwa bila viongozi😅😆
Mahakama imeamuri uchaguzi itafanyika tarehe 15 August kama wanavodai katiba ifuatwe na bila shaka Eng Hersi Said atashinda Kwa kishindo Sasa mnaufurahia lipi
Hii ni danganya toto
Mbumbumbu mnadhani Yanga Kuna mgogoro kumbe ni mgogoro fake.
Sasa tarehe 8 njoo na hizo fikiria kuwa Yanga Kuna mgogoro tutawapiga kama ngoma
Jezi zitambulishwe tu, lakini habari kuu ni kwamba Mahakama haiwatambui hao watakaotambulisha jezi 🤣🤣🤣Hiyo kesi iliamriwa mwaka 2022 Leo 2024 ndo mtarajie maajabu.
Saa 8 waandishi wa habari watajaa saa 8 na tutafanya zoezi la kutambulisha jezi
Unataka kuamini watu walijifungia wakaja na picha za Azizi na hamisa wakipigiana penati?Jezi zitambulishwe tu, lakini habari kuu ni kwamba Mahakama haiwatambui hao watakaotambulisha jezi 🤣🤣🤣
According to manara mashabiki wa 5imba ni mapungaAccording to Haji S Manara
Yanga woooote Wenye akili ni Watatu tu
According to Haji s Manara
Sana, nazisubiri kwa hamu, lakini zizinduliwe na uongozi halali baada ya uchaguzi mpya 🤣🤣🤣Una shauku ya kushuhudia jezi mpya za Yanga?
AahaaaaWacha tusiwastue
Pole sana.kwahiyo Yanga mambo yao hayaendi bila kiki?? ili washinde mechi inabidi waivuruge Simba kisaikolojia na bila hivyo hawajiwezi?? sasa mbona hawaikuvuruga Mamelodi au USM Alger ili wachukue makombe makubwa?? hebu ongeza uwezo wako wa kufikiri acha hizi porojo wewe inakuingiaje akilini hayo uliyoandika??