Simba mmekubali kuingia kwenye huu mtego, Yanga hakuna mgogoro

Simba mmekubali kuingia kwenye huu mtego, Yanga hakuna mgogoro

Sema inahitaji kujitoa akili kuamini Rais wa klabu mwanachama wa TFF ambaye ni mwanachama wa FIFA anaondolewa madarakani na mahakama ya kiraia.

Wambura alishinda kesi mahakamani na Wallace Karia akamlamba kifungo cha maisha..

Hili jambo mnaolishabikia soon linaenda kuwavua nguo kama lilivyowavua nguo sakata la Aziz Ki.
Jambo ni lenu alafu avuliwe simba shabiki wa simba? Nyie pambanane na mambo yenu sisi tunatizama tu mnavyo parurana
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
1000140849.jpg
 
Ndo maana ninamkubali Eng Hersi Said. Yaani kaona Usajili wa 5imba ni WA umakini, akaona watatusubua kidogo hatutawapiga magoli mengi.

Nawatahadharisha tarehe 8 sio mbali, Mtapigwa 8. Na itakuwa nane nane

1. Jiulizeni mahakama ilitoa hiyo jukumu zamani, kwanini iibuke Leo mechi ikiwa karibu😄😅 Bado weeks 2 tu.
Na kesi iliisha 2022

2 Na Eng Hersi Said akitoka ofsini atabaki kiongozi Gani? Yaani team itakuwa bila viongozi😅😆

Mahakama imeamuri uchaguzi itafanyika tarehe 15 August kama wanavodai katiba ifuatwe na bila shaka Eng Hersi Said atashinda Kwa kishindo Sasa mnaufurahia lipi

Hii ni danganya toto
Mbumbumbu mnadhani Yanga Kuna mgogoro kumbe ni mgogoro fake.

Sasa tarehe 8 njoo na hizo fikiria kuwa Yanga Kuna mgogoro tutawapiga kama ngoma
Huenda kukawa na ukweli kuhusu hili, maana hata Mzee Magoma mwenyewe ameanza kukana kuhusishwa na hiyo hukumu.
 
Ndo maana ninamkubali Eng Hersi Said. Yaani kaona Usajili wa 5imba ni WA umakini, akaona watatusubua kidogo hatutawapiga magoli mengi.

Nawatahadharisha tarehe 8 sio mbali, Mtapigwa 8. Na itakuwa nane nane

1. Jiulizeni mahakama ilitoa hiyo jukumu zamani, kwanini iibuke Leo mechi ikiwa karibu😄😅 Bado weeks 2 tu.
Na kesi iliisha 2022

2 Na Eng Hersi Said akitoka ofsini atabaki kiongozi Gani? Yaani team itakuwa bila viongozi😅😆

Mahakama imeamuri uchaguzi itafanyika tarehe 15 August kama wanavodai katiba ifuatwe na bila shaka Eng Hersi Said atashinda Kwa kishindo Sasa mnaufurahia lipi

Hii ni danganya toto
Mbumbumbu mnadhani Yanga Kuna mgogoro kumbe ni mgogoro fake.

Sasa tarehe 8 njoo na hizo fikiria kuwa Yanga Kuna mgogoro tutawapiga kama ngoma
Yaani ushabik wa kitoto huu sasa kwa hio apo unaona una point za kutetea utumbo wako
Kweli nyie utopolo
 
kwahiyo Yanga mambo yao hayaendi bila kiki?? ili washinde mechi inabidi waivuruge Simba kisaikolojia na bila hivyo hawajiwezi?? sasa mbona hawaikuvuruga Mamelodi au USM Alger ili wachukue makombe makubwa?? hebu ongeza uwezo wako wa kufikiri acha hizi porojo wewe inakuingiaje akilini hayo uliyoandika??
 
Hiyo kesi iliamriwa mwaka 2022 Leo 2024 ndo mtarajie maajabu.
Saa 8 waandishi wa habari watajaa saa 8 na tutafanya zoezi la kutambulisha jezi
Jezi zitambulishwe tu, lakini habari kuu ni kwamba Mahakama haiwatambui hao watakaotambulisha jezi 🤣🤣🤣
 
Jezi zitambulishwe tu, lakini habari kuu ni kwamba Mahakama haiwatambui hao watakaotambulisha jezi 🤣🤣🤣
Unataka kuamini watu walijifungia wakaja na picha za Azizi na hamisa wakipigiana penati?
Hawa wanaweza kuwa wamejifungia wakaja na hili igizo.
 
kwahiyo Yanga mambo yao hayaendi bila kiki?? ili washinde mechi inabidi waivuruge Simba kisaikolojia na bila hivyo hawajiwezi?? sasa mbona hawaikuvuruga Mamelodi au USM Alger ili wachukue makombe makubwa?? hebu ongeza uwezo wako wa kufikiri acha hizi porojo wewe inakuingiaje akilini hayo uliyoandika??
Pole sana.
Kumbe na wewe uliamini?
Mbumbumbu
 
Kama ni Hivyo mahakama ndo imeingia kwenye mtego wa huyo Bwana Yako Eng: Hersi unayedhani ana akili Sana, na siyo Simba Kwa sababu hakuna mwana Simba yeyote aliyeenda kisutu kushataki juu ya uhalali wa BWANA Yako kuingia kinyemela hapo utopoloni!
 
Back
Top Bottom