Simba mnayo safari ndefu ya kuijenga timu yenu, zile 5 za Yanga zinaweza kuja kujirudia msipofanyia kazi mapungufu yenu!

Simba mnayo safari ndefu ya kuijenga timu yenu, zile 5 za Yanga zinaweza kuja kujirudia msipofanyia kazi mapungufu yenu!

Timu ya aina Gani iliyoingia robo fainali ikatolewa na wewe ulikuwa na timu ya aina Gani? Umeingia na full mkoko wenzako wameingia na U20 pamoja na watokea benchi unafananaje ubora na watokea benchi? Maana ulitakiwa uonyeshe ubora na utofauti wako na awa wengine uwanjani!
Kwahiyo Mshery, Zawadi Mauya, Kibwana Shomari, Lomalisa, Skudu (ahahahahaha) Skudu, Nzengeli, Morocco, Mzize Kibabage, Ngushi kwako wewe ni U20? Basi sawa. Na sie Bocco na Kapombe ni U17 kabisaaaaaa!!!!!
 
Kwahiyo Mshery, Zawadi Mauya, Kibwana Shomari, Lomalisa, Skudu (ahahahahaha) Skudu, Nzengeli, Morocco, Mzize Kibabage, Ngushi kwako wewe ni U20? Basi sawa. Na sie Bocco na Kapombe ni U17 kabisaaaaaa!!!!!
Hukuona aliposema watokea benchi?
Kibabage kacheza mechi moja tu
Max kacheza mechi moja tu dhidi ya KVZ na aliingia sub
Skudu, Zawadi, Moloko, Ngushi, Kibwana hao wanaingia kwenye kundi la wanaotekea benchi na wengine hata benchi yenyewe hawakai.

Diarra
Musonda
Yao
Aucho
Pacome
Aziz Ki
Mudathir
Job
Zengeli
Bacca

Hawa ndio walishiriki kwenye kipigo chako cha goli tano
 
Hukuona aliposema watokea benchi?
Kibabage kacheza mechi moja tu
Max kacheza mechi moja tu dhidi ya KVZ na aliingia sub
Skudu, Zawadi, Moloko, Ngushi, Kibwana hao wanaingia kwenye kundi la wanaotekea benchi na wengine hata benchi yenyewe hawakai.

Diarra
Musonda
Yao
Aucho
Pacome
Aziz Ki
Mudathir
Job
Zengeli
Bacca

Hawa ndio walishiriki kwenye kipigo chako cha goli tano
Kwani timu yenu ilikuwa inatambulishwaje kwenye mashindano?
 
Kwahiyo Mshery, Zawadi Mauya, Kibwana Shomari, Lomalisa, Skudu (ahahahahaha) Skudu, Nzengeli, Morocco, Mzize Kibabage, Ngushi kwako wewe ni U20? Basi sawa. Na sie Bocco na Kapombe ni U17 kabisaaaaaa!!!!!
Wote hao ni kikosi Cha pili, U20 ni wachezaji 8 na wote walicheza
 
Yako wapi Sasa, Kama umekwenda na kikosi chako choooote na bado umeshindwa kumfunga mlandege na kubeba ata icho kikombe Cha kahawa uku kwenye ligi utaweza? Mbumbumbu wakiambiwa timu yao bado sana wanamwaga povu Kama lote, icho ndio kikosi wanachokitegemea kiwape mafanikio namhurumia sana benchikha cv yake amekuja kuiharibu badala ya kuilinda so sad!!
 
Back
Top Bottom