Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Kwahiyo Mshery, Zawadi Mauya, Kibwana Shomari, Lomalisa, Skudu (ahahahahaha) Skudu, Nzengeli, Morocco, Mzize Kibabage, Ngushi kwako wewe ni U20? Basi sawa. Na sie Bocco na Kapombe ni U17 kabisaaaaaa!!!!!Timu ya aina Gani iliyoingia robo fainali ikatolewa na wewe ulikuwa na timu ya aina Gani? Umeingia na full mkoko wenzako wameingia na U20 pamoja na watokea benchi unafananaje ubora na watokea benchi? Maana ulitakiwa uonyeshe ubora na utofauti wako na awa wengine uwanjani!
Hukuona aliposema watokea benchi?Kwahiyo Mshery, Zawadi Mauya, Kibwana Shomari, Lomalisa, Skudu (ahahahahaha) Skudu, Nzengeli, Morocco, Mzize Kibabage, Ngushi kwako wewe ni U20? Basi sawa. Na sie Bocco na Kapombe ni U17 kabisaaaaaa!!!!!
Kwani timu yenu ilikuwa inatambulishwaje kwenye mashindano?Hukuona aliposema watokea benchi?
Kibabage kacheza mechi moja tu
Max kacheza mechi moja tu dhidi ya KVZ na aliingia sub
Skudu, Zawadi, Moloko, Ngushi, Kibwana hao wanaingia kwenye kundi la wanaotekea benchi na wengine hata benchi yenyewe hawakai.
Diarra
Musonda
Yao
Aucho
Pacome
Aziz Ki
Mudathir
Job
Zengeli
Bacca
Hawa ndio walishiriki kwenye kipigo chako cha goli tano
Wote hao ni kikosi Cha pili, U20 ni wachezaji 8 na wote walichezaKwahiyo Mshery, Zawadi Mauya, Kibwana Shomari, Lomalisa, Skudu (ahahahahaha) Skudu, Nzengeli, Morocco, Mzize Kibabage, Ngushi kwako wewe ni U20? Basi sawa. Na sie Bocco na Kapombe ni U17 kabisaaaaaa!!!!!