Simba ndiyo timu ya Tanzania iliyofanyiwa vurugu na magumashi mara nyingi katika mashindano ya CAF

Hahahah, dharau zimezidi sana hasa mitandaoni ila hata vijiweni. Historia za Simba zinachukuliwa poa na watu ambao miaka nenda rudi wanapiga mark time tu ila historia zinawakataa.
Hao jamaa wamecheza final na waarabu pale kwao
Hata Simba mwaka 1970 walicheza final na waarabu
 
Hao jamaa wamecheza final na waarabu pale kwao
Hata Simba mwaka 1970 walicheza final na waarabu
Simba kacheza fainali 93 ona mpaka leo wanavyoikataa hiyo historia. Simba ilimvua ubingwa Zamalek nyumbani kwake tena siku ambayo ilikuwa sherehe ya kupewa kombe lao la ligi, Simba ikaigeuza hiyo siku kuwa msiba. Tena umenikumbusha, nilisahau kuitaja hii mechi katika hoja yangu.

Walimpelekea Rais medali wakala na wali wa Ikulu, leo wanamwambia Rais walimpelekea medali ya losers haina thamani yoyote.
 
Nchi hii mibumbumbu ni mengi kwa kweli yani hili nalo ni la kujisifia bure kabisa..
 
kwnini makolo kila siku nyie?
 
Yanga ndio mhanga wa kufanyiwa vurugu ktk nchi hii! sina kumbukumbu ila nitakumbuka machache, tuanze kwa hapa tanzania, rejea vurugu za coastal union vs yanga mkoani tanga, simba vs yanga mkapa stadium mashabiki kurusha viti hizo si vurugu?,kimataifa ndo usiseme yani,al ahly vs yanga mjini cairo, club africain vs yanga, usma vs yanga nk nk even al hilal vs yanga. mleta mada kaanza kufuatilia soka jana! simba wote ni mbumbumbu
 
Mambosasa alinyang'anywa gloves au hirizi kwenye mbupu!?
 
Timu kubwa haifanyiwi fujo na timu ndogo hata siku moja.
 
1993 yalikuwa mashindano gani kat ya haya;-
1.Klabu bingwa Afrika
2. Kombe la washindi
3. Kombe la CAF
Sifa zingine mnajitishwa lakini si zenu
 
1993 yalikuwa mashindano gani kat ya haya;-
1.Klabu bingwa Afrika
2. Kombe la washindi
3. Kombe la CAF
Sifa zingine mnajitishwa lakini si zenu
Huu mjadala tulishaumaliza kitambo, Sina mzuka wa kuurudia.
 
Unaikumbuka mechi ya yanga na highlanders ya zimbabwe wewe kwenye CAFCL,wazimbabwe hào walikua hawajawahi kufungwa kwao kimataifa ,mechi ya kwanza pale uhuru ilikua 2-2 na marudiano mpaka dakika ya 87 tulikua tunaongoza 2-0 tukapata penati dakika ya 87 wakagomea na kutokea vurugu kubwa mechi ikavunjika ,tukaenda round nyingine tukakutana na mamelodi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…