Simba SC 0-0 Young Africans SC | Ligi kuu NBC | Benjamin Mkapa

Simba SC 0-0 Young Africans SC | Ligi kuu NBC | Benjamin Mkapa

Tunaongea kwa sababu Simba ni mbovu sana , halafu timu bora yenye Mpaka Dr sijui professor Aucho imeshindwa kupata matokeo.

Popote ilikuwa ukikutana na shabiki wa Utopolo anakwambia subiri tarehe 11 mtajua hamjui.

Hakuna shabiki wa Simba alikuwa anapiga kelele, Sisi tulishasema hii ni mechi ya ligi km mechi zingine.

So tunaongea na tunaona Sasa zile kelele zimebuma.

Ooooh tuna Mayele ndo maana leo tunauliza kafanya nn. Oooh Dr Aucho.

Hatushangilii bali tunawacheka kwa dharau.

NB: SIMBA NI BINGWA 2021/2022. MUDA UTASEMA.
Ni kigezo kipi unachotumia kusema Simba ni mbovu? Timu ipo makundi shirikisho CAF, timu inashika nafasi ya pili kwenye ligi kuu kwa tofauti ya alama mbili inakuwaje mbovu? Sawa timu ina dokta Aucho je wachezaji wote anaocheza nao ni madokta? Simba pia kuna mabunduki ya mk14 wakati yanga hawana hizo bunduki. Simba kuna mawakili wasomi wakati yanga hawana mawakili wasomi. Simba inawazee wa soft touch maleft tiuch yanga hawana
 
Hapa kuna mambo mawili unayo aidha huzijui simba na yanga vizuri(yaani umeanza kushangilia mpira jana) au ushabiki unakusumbua.

Siku zote kwenye games zozote kubwa hamasa ya fedha imekua ikiwepo.

GSM sio mtu wa kwanza kuahidi kua Yanga ikishinda atampa zawadi.

Hata ile March 8 mkuki wa moto wa BM3 yanga waliaidiwa 500M na GSM ikiwa kama akishinda mechi na kweli akashinda.

Juzi kati hapa TP Mazembe waliaidiwa hela na boss wao ikiwa kama wata qualify to the group stages.

Vitu vingine unaletaga humu jukwaani vibakuaga havina maana..shida yako ubishane ujinga tu.
Mimi sijasema kama ni ushamba GSM kuahidi kibunda, au kwamba sio kitu cha kawaida katika mpira, mimi nimesema kwamba hizo hela ni kama tu anawadorisha yanga kwakua ni ngumu sana kumfunga simba kwa aina ya wachezaji alionao
 
Goli alilokosa Mayele leo kipindi cha kwanza in a one against one situation na Aishi manula, ningekuwa kocha huyu dogo ningemzibua.
 
Ila kwa namna Yanga walivyojipanga na mashabiki kujihakikishia, leo ilibidi washinde. Ukizingatia wanaiita Simba ni mbovu
Tatizo wameamini sana katika Propaganda, zile mechi mbili za mwanzo za Simba, eti kwao zilitosha kuwaaminisha kuwa Simba ya misimu huu ni mbovu.
 
Hongereni simba kwa kupata sare,Haya matokeo kwenu ni favorite Sana na mna haki ya kutamba kama mnavyofanya.
Hakuna Simba anayetamba kwa kupata draw, sisi tuna wacheka tu kwa dharau maana mlizidi kila ukiongea na shabiki wa utopolo hawana kingine zaidi ya tar 11,mara oooh mayele, mara oooh aucho Kiko wapi [emoji23]
 
Tatizo wameamini sana katika Propaganda, zile mechi mbili za mwanzo za Simba, eti kwao zilitosha kuwaaminisha kuwa Simba ya misimu huu ni mbovu.
Mkuu, kwa namna walivyokuwa wanajigamba na walivyokuwa wanaizungumzia shit simba nilijua leo wanashinda. Jana nimetoka Mbeya kuja Arusha utadhani basi zima la Arusha Expresse walikuwa mashabiki wa Yanga. Mpaka nikajua leo tunapigwa, ikabidi niwe mpole [emoji16]
 
Na hili tangazo tunali ignore otherwise hicho kilogo huko chini kitolewe

1639242571216.png
 
Mimi sijasema kama ni ushamba GSM kuahidi kibunda, au kwamba sio kitu cha kawaida katika mpira, mimi nimesema kwamba hizo hela ni kama tu anawadorisha yanga kwakua ni ngumu sana kumfunga simba kwa aina ya wachezaji alionao
Kwani kwenye ngao ya jamii alifungwa nani?

Saa nyingine ni kama kichwani hazikutoshi.
 
Kwa kawaida yanga wana uzuzu wa kuwapa wachezaji ufalme ambao hawastahili, rejea msimu uliopita namna ambavyo carinhos aliimbwa, fiston Abdul razack, Michael sarpong [emoji23] etc .. sasa wakina aucho kidogo wameonesha matumaini lakini kiuhalisia bado wakawaida sana, na ndicho kilichokua kikiwapa jeuri yanga na kufikia hatua ya kuwaita Simba underdog [emoji23][emoji23] .. kila wakisikia "mayele" vichwa vinavimba, sasa wamekuja kukutana na uhalisia ulivyo, kilichobaki ni kujifariji tu kwamba Simba alikua underdog kwenye mchezo wakati wanajua fika kuwa wameponea kwenye tundu la sindano hususani kipindi cha pili. [emoji23][emoji23]
Simba mwenyewe anajijua underdog ndo maana amefurahia draw
 
Back
Top Bottom