Simba SC 1-0 Mbeya Kwanza | Benjamin Mkapa |NBC PL

Miamala miamala miamala ndio maana mnapenda viporo sababu mnakuwa na uhakika fungu lipo.

Ila ndio mpira wetu,juzi tuta leo offside kesho red card is loading.....

Nasema hivi 100%Lazima Presha Ukupande Utopolo Mnyama Kashinda[emoji3516][emoji2957][emoji1666][emoji12]
 
Mchezaji wa mbeya kwanza aliugusa kwanza mpira Δ·abla ya kagere. Clear goal.Mnaobisha bora mshabikie rede.
Mnajificha kwenye kichaka cha aliugusa hahahaha kagere alikuwa offside
 
Kama nakuona unavyo teseka vile.🀣🀣

Pole sana rafiki Bado point 5 tu yaani ukichema mboga tu tupo nyuma yenu πŸ˜‚πŸ˜‚
Naona umenipania rafiki. Lol

Niseme tu ubingwa tunauhitaji hivyo kuteseka kutoteseka niamue tu. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Jikazeni kiume huenda mukatupita na kuongoza ligi. Teh teh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…