denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
We Simba gani husifii hata zuri moja la timu yako?! wacha usanii utopolo..Naona aliyekushikia akili amekurudishia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We Simba gani husifii hata zuri moja la timu yako?! wacha usanii utopolo..Naona aliyekushikia akili amekurudishia
Pole mtaniKwani unateseka. Ndo hivyo goli ni goli ila hili ni la kupapatua.
Miamala miamala miamala ndio maana mnapenda viporo sababu mnakuwa na uhakika fungu lipo.
Ila ndio mpira wetu,juzi tuta leo offside kesho red card is loading.....
Mnajificha kwenye kichaka cha aliugusa hahahaha kagere alikuwa offsideMchezaji wa mbeya kwanza aliugusa kwanza mpira ķabla ya kagere. Clear goal.Mnaobisha bora mshabikie rede.
Goli halali Kaka,Watoto wamecharuka kweli lakini ndo hivyo mkubwa ni mkubwa tu
utopolo wacha utoto.Ifike hatua tuone haya kwa kubebwa huku
Hakuna timu hapo si muda mwamedi anatoka mbioMiamala miamala miamala ndio maana mnapenda viporo sababu mnakuwa na uhakika fungu lipo.
Ila ndio mpira wetu,juzi tuta leo offside kesho red card is loading.....
Naona umenipania rafiki. LolKama nakuona unavyo teseka vile.🤣🤣
Pole sana rafiki Bado point 5 tu yaani ukichema mboga tu tupo nyuma yenu 😂😂
Inategemeana kama ulipewa funguo za stoo tutabishaje?Simba hawawezi kubeba kombe mwaka huu.
Presha inapande kwa mbeleko zako na ndio maana mnalilia viporo .Nasema hivi 100%Lazima Presha Ukupande Utopolo Mnyama Kashinda[emoji3516][emoji2957][emoji1666][emoji12]
Yeah tumebebwa na chamaKwahiyo mmebebwa?!
Hahahaaaa. Lol.Pole mtani
Muddy hana kosa tatizo wanaosajili wachezaji wanamwingiza chaka.Hakuna timu hapo si muda mwamedi anatoka mbio
Mpira wa sako ulienda kwa kagere?Mnajificha kwenye kichaka cha aliugusa hahahaha kagere alikuwa offside