matokeo ya soccer sio cross multiplication mathsKuna akili inaniambia kama tulishindwa kumfunga coastal union kwanini Namungo ashindwe kutufunga?
Tunazungumzia foul ambayo amecheza manulaSasa kwani kila foul lazima iambatane na kadi?
Ile ilikua ni physical contactTunazungumzia foul ambayo amecheza manula
Yule katolewa relini Manula katumia excessive nguvu kamsukuma ila hajamblock kwa kutumia miguu au kumvuta shati, wala hakua na lengo la kuumiza.Tunazungumzia foul ambayo amecheza manula
Asingeweka foul sasaIle ilikua ni physical contact
Mashabiki wa simba huwa nacheka sana nikisomaga coment zenuKuna akili inaniambia kama tulishindwa kumfunga coastal union kwanini Namungo ashindwe kutufunga?
Alitumia nguvu gani?Yule katolewa relini Manula katumia excessive nguvu kamsukuma ila hajamblock kwa kutumia miguu au kumvuta shati, wala hakua na lengo la kuumiza.
Kumuongezea mwendoAlitumia nguvu gani?
Hawa Simba wanapapara sasa hiviKibu kapaisha
Labda za kikeAlitumia nguvu gani?
tusibishane mpe card basiAsingeweka foul sasa
Weka ushabiki pembeni mkuu Manula katoka golini kwake kamfwata mchezaji kwenye kibendera huyo mchezaji akamtoka manula na manula akamzuia kwa mikono ili asiweze kuleta madhara golini
Nani anae bishana Sasa ?tusibishane mpe card basi
Amekamiwahivi kwanini kibu amekua ni mtu wa kuchezewa foul