Simba SC 1-0 Namungo FC | Ligi Kuu | Benjamini Mkapa

Simba SC 1-0 Namungo FC | Ligi Kuu | Benjamini Mkapa

Kwa habari nilizo nazo ni kwamba, Namungo wamekuja na masheykh wanne, balaghashea zime wasimama kama mlima wa Kilimanjaro.
Simba jiandaeni na kichapo tu.
 
NBC Premier League kuendelea leo. Mabingwa watetezi Simba SC wakitoka kupata sare mchezo uliopita, leo saa 1:00 usiku kuwaalika Namungo FC ambao nao pia walitoka sare mchezo wao uliopita. Je, leo nani kuondoka na alama 3?

Kwa upande wa Simba, Mkude Anarejea katika nafasi ya kiungo baada ya kuwa nje kwa Muda Mrefu sana. Kwa sasa Simba Ina Majeruhi wengi ambao Watakosekana Kwenye Mtanange huu, Akiwepo Kiungo wa kimataifa Tadeo Lwanga, Sadio, Sokho, Mzamiru Yasini, Chris Mugallu.

Tuwe hapa Kuanzia Sasa Hadi kipute hiki kitakavyo Malizika.
Tuambieni kabisa kakosekana nani.
 
Naona Simba tunaenda kucheza 4 4 2 kibu na boco up front naiona shida kwa mhilu na Morrison maana si wakabaji Sana .

Nahisi full Back zetu zitakua nakazi kubwa sana leo kama watashindwa kuwakumbusha kurudi hawa mawinga .

Leo tuna Centre backs wote ambao wako slow inabidi akili itumike sana aisee.

Kila la khery Mnyama
 
Kikosi cha leo

IMG_20211103_180524.jpg
 
Simba kuna mgogoro ndani ya uongozi na bado inahujumiwa na wapinzani. Kupata matokeo na ubingwa msimu huu ni inatakiwa wawe makini sana ktk hayo mawili
 
Wachezaji wa kigeni wanastahili kuanza kwa sasa ni watatu tu
Inonga
Bwalya
Morrison
 
Nimemsikia kocha akihojiwa na Azam.

Yaani kocha ni mlalamikaji na Muoga.

Kwa spirit alionesha kocha wetu, basi simba tuna kazi kubwa sana
 
Kuna kila dalili Namungo atachezea leo
 
Kocha anasemaje mkuu

Analalamika Mechi zimekuwa karibu karibu sanaa anakosa muda wa kufanyia kazi matatizo anayo yaona, so anategemea hiki kipindi cha Mapumziko kwenda kujirekebisha [emoji28], Simba inapitia wakati mgumu anasema, kwa hiyi lolote linaweza kutokea.

Anamalizia kwa kusema hii hali ni kwa binadamu yeyote na Hata club kubwa duniani hupitia.

Huyu ndio kocha wetu
 
Alie leta Hawa wachezaji amezingua haiwezekan haiwezekan washindwe kuanza first eleven yani ametupiga na kitu kizito kichwan
 
Analalamika Mechi zimekuwa karibu karibu sanaa anakosa muda wa kufanyia kazi matatizo anayo yaona, so anategemea hiki kipindi cha Mapumziko kwenda kujirekebisha [emoji28], Simba inapitia wakati mgumu anasema, kwa hiyi lolote linaweza kutokea.

Anamalizia kwa kusema hii hali ni kwa binadamu yeyote na Hata club kubwa duniani hupitia.

Huyu ndio kocha wetu
Wamekaa preseason siku za kutosha afu Leo anaongea utumbo gan
 
Back
Top Bottom