barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Na ni bahati hizi timu hazianzi kufunga, wakipiga moja tu shughulibinaishia hapo..Hii Game Tuna Draw Tena Kocha Asipo Kuwa Makini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ni bahati hizi timu hazianzi kufunga, wakipiga moja tu shughulibinaishia hapo..Hii Game Tuna Draw Tena Kocha Asipo Kuwa Makini.
MatakrooGoooooooh.Kibu anafunga hapa. Ouups kumbe nilikuwa naota.Jamani wa matopeni mambo ni aje huko ?
Mo hakuwatuma wachezaji wakaruhusu goli tatu zirudishwe kizembe, huo ni mkosi wa wachezaji wenyewe walijitakia.Mwamedi na yule demu wake barabara wametuuza bifu zao zimefanya tuonekane mikia makolo Bata fc inaboa kuitwa kolo
Afu amna kitu kinaudhi kama kukutana na sampuli hii ya mashabikiKwa mambo yalivyo sasa wana asilimia kibwa ya kuchukua. Simba tusijidanganye kuwa tutaamka, misimu iliyopita tulikua na chama mikison, msimu huu hamna wa kubadili timu..
Hitimana nae hajui anafanya nini. Mchezaji hapafom hata kama ninkipimdi cha kwanza mtoe...
Hakuna kocha.hii timu inahitaji kocha mzuri huyu maumivu kila sikuNBC Premier League kuendelea leo. Mabingwa watetezi Simba SC wakitoka kupata sare mchezo uliopita, leo saa 1:00 usiku kuwaalika Namungo FC ambao nao pia walitoka sare mchezo wao uliopita. Je, leo nani kuondoka na alama 3?
Kwa upande wa Simba, Mkude Anarejea katika nafasi ya kiungo baada ya kuwa nje kwa Muda Mrefu sana. Kwa sasa Simba Ina Majeruhi wengi ambao Watakosekana Kwenye Mtanange huu, Akiwepo Kiungo wa kimataifa Tadeo Lwanga, Sadio, Sokho, Mzamiru Yasini, Chris Mugallu.
Tuwe hapa Kuanzia Sasa Hadi kipute hiki kitakavyo Malizika.
====
Mpira ni mapumziko na milango ni migumu kwa pande zote, Simba 0-0 Namungo
kwA mpira upi?Kipindi cha pili ndo hichoo....! Njoooni tushuhudie migoli Mnyama anamtandika Mtu hapa..!
Kwanini mwamedi atukimbie baada ya kuwauza wale? Atuachie timu yetuMo hakuwatuma wachezaji wakaruhusu goli tatu zirudishwe kizembe, huo ni mkosi wa wachezaji wenyewe walijitakia.
Kachukua na hela za Azam za haki ya habari za Simba!mwamwedi Kwa utapeli namkubali. kawatapeli kawaachia Bomu. na jersery kaichafua.
poleni sana watani laana ya mzungu hiyoo.
Mwamedi mjanja sana na hamna mtu wa kuthubutu kuongea kwa mwamedi katupiga na anatumia timu kimaslahi yakemwamwedi Kwa utapeli namkubali. kawatapeli kawaachia Bomu. na jersery kaichafua.
poleni sana watani laana ya mzungu hiyoo.
Aafu kapu lenyewe la njanoHahahaaa jili kapu la magoli linaloonekana hapo kwenye jukwaa la mashabiki kwenye mechi iliyopita lilirudi likiwa tupu sijui leo