Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi kesho utawasindikiza airport...?Tuisila nipigie hawa makolo
[emoji1787][emoji1787]Wakati Yanga wanawapokea Berkene, Simba walienda kuwapokea waamuzi.
Sasa unategemea nianze kubishana humu Jf na fukara kama wewe?Acha kushobokea wanaume wewe malaya
Kasome tena urefaIla lile ni clear goal, kibendera kawauma Rs Berkane,wakati huohuo kawapa goal Simba la offside.....Kagere aliingilia mchezo wakati Sako anapiga.....ila hongereni Kwa kushinda, hata kama ni kimagumashi
Kuna beki wa berka e alikuwa anamchezeaha onside kagere. Ile mzeya alikuwa anaenda cheza na nyavu.Angalia wakati Sako anapiga Kagere alikuwa wapi?
Kama sio offside puliza filimba mpira katiAfrika ina safari ndefu sana kwenye soccer
Tumerudi nafasi yetu
eti unateseka ukiwa wapi?Nilikuwa naangalia mechi ya Zanaco na Waarabu, nikachungulia kidogo kwa MAKOLO kiukweli Refa ndiye mchezaji bora wa MAKOLO, maana kawanyima wapinzani goli la halali kabisa.
Yani Makolo wamekaa kimchongo mchongo tu[emoji1787][emoji16]
TZ kuendelea kimpira ni zaidi ya miaka 1000 ijayo tukiwa tushakufa [emoji4]Aliyefunga goli hakuwa offside, it was supposed to be a goal
Alikuwa ni mtu muhimu, huyu kocha hajiamini, hawa kenge ilibidi wafe nyingi tu. Sasa eti mzamiru ndio akawe namba 10[emoji23]Alivyotoka timu ikapoteana yeye ndiye alikuwa anachezesha timu hasa juu
Itisheni press keshoNilikuwa naangalia mechi ya Zanaco na Waarabu, nikachungulia kidogo kwa MAKOLO kiukweli Refa ndiye mchezaji bora wa MAKOLO, maana kawanyima wapinzani goli la halali kabisa.
Yani Makolo wamekaa kimchongo mchongo tu[emoji1787][emoji16]
Utopolo Kuna marefa wengi mliofeliNilikuwa naangalia mechi ya Zanaco na Waarabu, nikachungulia kidogo kwa MAKOLO kiukweli Refa ndiye mchezaji bora wa MAKOLO, maana kawanyima wapinzani goli la halali kabisa.
Yani Makolo wamekaa kimchongo mchongo tu[emoji1787][emoji16]
Mshinde kihalali ila siyo mpaka Refa anatolewa na makomandooKasome tena urefa