Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hivyo tena wanaongoza kundi sasa sijui inakuwaje?Nilikuwa naangalia mechi ya Zanaco na Waarabu, nikachungulia kidogo kwa MAKOLO kiukweli Refa ndiye mchezaji bora wa MAKOLO, maana kawanyima wapinzani goli la halali kabisa.
Yani Makolo wamekaa kimchongo mchongo tu[emoji1787][emoji16]
Simba kashinda.
Ilikuwa penalt dhidi ya Simba kama ingalikuwepo VAR na goli la Berkane ni off side.
Kiujumla Simba alistahili saana kushinda ni marekebisho madogo madogo ambayo lazima yarekebishwe ili awe salama.
Mwana Utopolo mwenzagu haya ya kimataifa tuwaachie wenyewe, sisi tukazane kutetema kama mabumunda huenda siku moja tutafika huku.
Tuisila nipigie hawa makolo
Tumekwishaaa
mmepata sababu ya kutowasindikiza,?Nilikuwa naangalia mechi ya Zanaco na Waarabu, nikachungulia kidogo kwa MAKOLO kiukweli Refa ndiye mchezaji bora wa MAKOLO, maana kawanyima wapinzani goli la halali kabisa.
Yani Makolo wamekaa kimchongo mchongo tu[emoji1787][emoji16]
Ina maana wewe hujui matokeo,acha utoto.Full time mbona huweki?
Lakini jamaa aliyabashiri haya yote, alikuwa akiwaambia waarabu kua simba ya kule morroco ni tofauti na hii kwa mkapa wakambishiaTuisila kisinda kipenz cha wanayanga ametolewa
Kama akituliza wanasimba, si ndio furaha yenu utopolo? Tangu lini utopolo wakatoa ushauri mzuri kwa timu nzuri nzuri kama Simba? Kila mtu atoe ushauri kwa timu za level yakeHuyu kocha anakosa Psychological tactic Tags za michezo ya Africa.
Ni suala la muda atakuja kuwaliza wanasimba.
Ukiandika kitu uwe unajaribu kuchuja pumbaHuyu nabi sio leo kuhudhuria mechi za simba hususani za kimataifa
Yani management ya yanga inalipia pesa ya kiingilio ili nabi akachukue some skills kwa wachezaji wa simba maan wamekuwa wachoyo hawataki kuonesha maufundi kwenye ligi kuu si unajua huku wanga wengi
Lakini muarabu mpaka anamlaumu refa kwanini amemruhusu mane acheze kwa jersey ya sakho usifikiri ni swala dogo
Watakoma
Sina haja ya kuchuja wakati chujio upoUkiandika kitu uwe unajaribu kuchuja pumba
Hii angeiona mshabiki wa berkane angebaini unafki wako
Kwa Marejeo Ya Picha Aliyefunga Alikuwa Onside.
Sasa achuje nini ilhali machujio mpo?? Nyie endeleeni kuchuja kazi ya MwanaSimba Sc ni kuandika atachojisikia kisha wazamiaji wachuje.Ukiandika kitu uwe unajaribu kuchuja pumba
Wow
lakini wapi
Mambo ya Diagonal passes [emoji23]