Simba SC 1-3 Jwaneng Galaxy FC | CAFCL | Simba yatolewa klabu bingwa Afrika

Tatzo lilianzia pale Mwijaku alipopewa nafasi ya mbele ndani ya simba,
Mwijaku anarahana mbaya sana hawezi kuwa upande wako ukashinda.
Kuamzia kwa Harminize, kipindi cha leo tena kinapoteza mvuto, Mwijaku hafai kuwa sehemu ya maendeleo yako usijaribu mpa nafasi.😭😭😭😭😭😭
 
Mikiaa..πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Pole simba mwenzangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…