Simba Sc 4-0 Us Gendarmerie | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium

Wakumbuke pia TFF watapata 5% ya kiasi hicho kutoka CAF.

Hela nzuri ya kuweza kununulia utopolo waamuzi.
Hii ndio point ambayo TFF anapokea pesa kwa sura ya aibu huku ameinama chini akikumbuka vile vitimbwi vya GSM na mkataba hewa

Sometimes TFF anajishuku na kujiona mkosaji ila anakosa namna ya kuwasilisha hisia zake kuoensha ana apologize
 
Tanzania Timu moja (Simba) na Libya Timu zake Mbili (Al Ittihad na Al Alhy Tripoli zote zimeingia Robo Fainali bila kuangalia matokeo yeyote maana wamechukua nafasi za Zambia na Nigeria.
 
Bado kuna watu wana wasiwasi na takwimu za IFFHS?

Wapo sio?

Kama wapo basi watakuwa wanalaumu kwanini simba awe wa 90 ilihali anaucheza ule kama wa yule aliyekaa nafasi ya 5

Kamuangalieni huyo namba 5 ni nani
 
Itafika hatua mechi za hapa kwa Mkapa timu pinzani zitakuwa haziji

Ni bora zipitishe ushindi moja kwa moja kwa kukaa mezani na kujichagulia magoli kuliko kukutana na zahma kama hii

Halafu pia itasaidia ku-manage bajeti, hawa USGN isingekuwa kiburi chao hizo nauli wangezitumia na familia zao kwenye msimu huu wa ramadhani mara nyingi mihogo inakuwa bei juu
 
Aiseh sijui tutapangiwa nani tu hii robo fainali, sitaki awe ngozi nyeusi, tukipewa waarabu sahivi hata nusu tutakuwa na waarabu.

Ikiwa hivyo, fainali naiona kabisa.
 
Wamefeli hapo ilibaki goli moja tu ku top group kumbuka wamekosa mangapi?
 
Goli la Mugalu lilivyokuwa la shida
Your browser is not able to display this video.
 
Webwana sie tulisha shinda na kusonga mbele hayo mengine Bakinayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…