Simba Sc 4-0 Us Gendarmerie | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium

Simba Sc 4-0 Us Gendarmerie | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium

Kama nilivyosema hua nashabikia timu zikicheza kimataifa tu.

Leo asee kidogo nipasue simu ninayostream. Viungo Bwalya na Kanoute waliwatoa wapi? Chances ya pass unakuta mtu anafanya upumbavu hadi anatolewa.

Morrison attention seeking sio sahihi kipindi cha kufa na kupona.

Robo natumai wataifanyia kazi suala la wachezaji kuchelewa kufanya maamuzi hasa Bwalya na Kanoute (Hongera kwa Goli lakini).

Kingine nimegundua kelele na sifa za mashabiki zinaharibu wachezaji kuwafanya kutaka kuchukua sifa hata sehemu isiyotakiwa. (Morrison na Sakho kipindi cha kwanza).

Simba sasa ni kubwa natumai scouting itakua ya maana ilitakiwa vijana kama Miquissone na Chama ndio wanakua scouted, watu walio comfortable na Ball.
 
Ila nyie USGN sio vizuri mlivyofanya...!

Yaan hadi HT ...Mkabana hamtaki Kutoa...!

Utopolo wakajazana ndani ya huu Uzi Wakiamini kbs HAMTOI...!

Baadae Mkaachia...Mashosti Wenzenu Utopolo Limewashuka..! Msikubali Msiondoke mpaka Wawasindikize..!!
 
Hivi ligi kuu ni timu ipi yenye beki wanafanya clearance ya kueleweka?

Namaanisha ile ball clearance ya kuupiga mpira kutoka golini kuutupa sehemu ya mbali.

Maana Unakuta wanabahatisha, kawaida yao ni mtu anapiga mpira kwa nguvu na mpira unaenda juu unarudi kudundia pale pale alipoupiga. 😂😂

Simba leteni Beki mwakani Simba iwe Tishio itambulike Dunia nzima, ifanye nchi iwe kituo cha Scouting kwa matimu ya ulaya mabilioni yaingie kwa mzunguko bei tuihimili.
 
20220404_002318.jpg


muuaji
 
Simba hongereni, hizi timu za bongo nazishabikia zikiwa kimataifa tu, maana zinaitangaza Tanzania [emoji1241] nchi yangu na kufanya iwe juu kisoka. Ila Yanga upuuzi mtupu mnatolewaje vile.

Biashara United ilichofanyiwa acha tu inakera.

Namungo hongera kwa kusaidia pamoja na simba msimu uliopita kupeperusha bendera.

Ila Simba ilipaswa kufahamu inahitaji magoli mengi iwe Top of group ambayo advantage ni Kuanzia ugenini then kufanya mauaji kwa mkapa. Ila Hongereni sana kwenda Robo fainali si haba.

Tanzania [emoji1241] imewakilishwa ipasavyo.
Kukubwa tupewe mwarabu tu hii robo fainali, tukimleta kwenye jua tunashindilia kama za leo halafu huko kwao tunafunga mahesabu.
 
Kwa wenye mapenzi na wanaojali hakinza binadamu pamoja na kukerwa na vitendo vya uvunjifu wa heshima walimfata USGN na wakampa angalizo kuwa Simba ule ni moto

Team yuda wakajivika ugadafi wakampa maneno ya kishujaa naye USGN akajaa

Watu wa mwanzo kumfata USGN wakawa wanajiuliza huyu bwana tumemuambia ule ni moto alipaswa kukimbia sasa yeye ana anaufata, atakuwa ana matako ya sufuria nini?

Dakika 45 za mwanzo USGN wakawawaona wale washauri wa mwanzo ni waongo na watu ambao ni wanafiki

Dakika 25 za kipindi cha pili USGN wakaguna "mmmh! inawezekana kuna ka ukweli hapa ebu ngoja tuendelee tuone itakuwaje"

Mpaka dakika ya 80 USGN alikuwa kwenye majuto ya kiburi chake kwa kupuuza ushauri wa wale watu wakwanza na sasa wameshaona kuwa wale wapambe wapili hawakutakiwa kupewa kipaumbele ni bora wangetafuta namna ya kukaa mezani na Simba na kuongea walau wafungwe hata goli 2 pekee
 
Tunataka tujue msimamo wako kabla ya mechi ulikuwaje

Hatutaki mapashkuna ambao wame switch baada ya mnyama kushinda kwa dhana ya kuwa kile walicholisema mwanzo kilikuwa ni utani

Kama ulikuwa ni mweusi basi kuwa mweusi

Kama ulikiwa mweupe basi kuwa mweupe

Ila usituletee ukijivu hapa
Mzee cheki page ya kwanza ya mechi nimeandaa kabisa Poster mwenyewe kwa ajili ya mnyama. Go first page
 
Draw itupe hawa Al Ahl tuingie nusu

1. Al Ahli Tripoli [emoji1149]
2. Pyramids [emoji1093]
.
1. Orlando Pirates [emoji1221]
2. Al Ittihad [emoji1149]
.
1. TP Mazembe [emoji1078]
2. Al Masry [emoji1093]
.
1. RS Berkane [emoji1173]
2. Simba SC [emoji1241]
Tusipewe Mazembe, hao wengine rahisi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom