MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
- Thread starter
- #41
Waziri wa Fedha Dk. Mwigulu Nchemba ( mwana Yanga SC ) na Katibu Mkuu Dk. Hassan Abbas Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo ( mwana Yanga SC ) kwa pamoja Pigo Kali la Mwenyezi Mungu halitowapita hivi hivi.Viongozi wa Simba na wasimamizi wa mfumo wa tiketi za kielektroniki N-Card, wamekubaliana kutoa kadi nyingine tofauti kwa ajili ya watu kuingia uwanjani kwenye Tamasha la Simba Day. #SimbaDay2021 #NguvuMoja View attachment 1942268