Simba SC bado mnaendelea na 'Upuuz'i wenu ule ule. Sandaland na Vunja Bei ni wana Yanga SC tupu

Simba SC bado mnaendelea na 'Upuuz'i wenu ule ule. Sandaland na Vunja Bei ni wana Yanga SC tupu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Sisi Watu wa Mpira na Watu wa kuyajua mengi ya ndani na yaliyojificha tunajua kuwa Mdhamini wa Jezi Vunja Bei hakuwa mwana Simba SC na hata huyu Mdhamini mpya wa Jezi Sandaland nas pia siyo mwana Simba SC (japo analazimisha aaminike hivyo) ila nae ni mwana Yanga SC mzuri tu.

Kuna Mambo ya ndani kuhusu hizo Jezi yalifanyika na Maadui wa Simba SC baada ya Mdhamini wa zamani Kushirikiana na hao Maadui zetu na naamini hata huyu Mdhamini mpya wa Jezi za Simba SC nae atapita mule mule huku akitumika na hao Maadui zetu kuweza Kuiumuza na Kuihujumu Simba SC.

Na kwa Upuuzi huu wa Awali kabisa uliofanyika kwa kumpa Udhamini wa Jezi mwana Yanga SC aitwae Sandaland (ila mwana Simba SC wa Usoni tu) na hawa Wachezaji wabovu wanaenda Kusajiliwa Simba SC GENTAMYCINE natangaza mapema hapa kuwa Yanga SC anabeba tena Makombe yote kwa Msimu ujao.

Simba SC kuna matatizo makubwa!!!
 
Sure kabsa hapa viongozi wamekula mweleka kabsa
Simba SC ( hasa Uongozi na baadhi ya Watendaji wa Benchi la Ufundi ) wangenitumia GENTAMYCINE au basi hata kama hawanitumii kwa Kutokutaka Kwao basi angalau wawe Wananisoma hapa JamiiForums na Kunielewa nina uhakika wangekuwa mbali mno kuliko wanavyodhani. Nimesikitika sana kwa kuamua Kuruka Mkojo ( Vunja Bei ) wa zamani na Kukanyaga Mavi ( Sandaland ) wa sasa.

Na niwaambieni Watu wa Simba SC kuwa msitegemee Jipya kwani ndani ya Simba SC bado kuna Virusi Watatu ( 3 ) wa Kutumaliza na Mmoja mnamjua vizuri tu.
 
Kama nina Utajiri wa Followers ( Great Thinkers ) wapatao 156 hapa JamiiForums hivi GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" Kushinda Tuzo ni Jambo la Kushangaa na Kukushangaza Certified Fool Wewe?

Na hata mwaka huu likiwemo nitashinda tena labda Nife au nisiwe Mmoja wa nominees

Kama nina Utajiri wa Followers ( Great Thinkers ) wapatao 156 hapa JamiiForums hivi GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" Kushinda Tuzo ni Jambo la Kushangaa na Kukushangaza Certified Fool Wewe?

Na hata mwaka huu likiwemo nitashinda tena labda Nife au nisiwe Mmoja wa nominees sawa?
Kuna mtu anaitwa
Kama nina Utajiri wa Followers ( Great Thinkers ) wapatao 156 hapa JamiiForums hivi GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" Kushinda Tuzo ni Jambo la Kushangaa na Kukushangaza Certified Fool Wewe?

Na hata mwaka huu likiwemo nitashinda tena labda Nife au nisiwe Mmoja wa nominees sawa?
Kuna mtu anaitwa Nalia Ngwena, kwa siku ana post 6, na hapati ban, anachukua award mwaka huu
 
Sisi Watu wa Mpira na Watu wa kuyajua mengi ya ndani na yaliyojificha tunajua kuwa Mdhamini wa Jezi Vunja Bei hakuwa mwana Simba SC na hata huyu Mdhamini mpya wa Jezi Sandaland nas pia siyo mwana Simba SC ( japo analazimisha aaminike hivyo ) ila nae ni mwana Yanga SC mzuri tu.

Kuna Mambo ya ndani kuhusu hizo Jezi yalifanyika na Maadui wa Simba SC baada ya Mdhamini wa zamani Kushirikiana na hao Maadui zetu na naamini hata huyu Mdhamini mpya wa Jezi za Simba SC nae atapita mule mule huku akitumika na hao Maadui zetu kuweza Kuiumuza na Kuihujumu Simba SC.

Na kwa Upuuzi huu wa Awali kabisa uliofanyika kwa kumpa Udhamini wa Jezi mwana Yanga SC aitwae Sandaland ( ila mwana Simba SC wa Usoni tu ) na hawa Wachezaji wabovu wanaenda Kusajiliwa Simba SC GENTAMYCINE natangaza mapema hapa kuwa Yanga SC anabeba tena Makombe yote kwa Msimu ujao.

Simba SC kuna matatizo makubwa!!!
Huwezi kuwa na mafanikio huku Una kiongozi anayepiga 10% Kila tukio.
Unadhani Saidoo alipomtaja kiongozi pekee anayemheshimu Simba aliongea Kwa bahati mbaya?
Don't TRY this at home.
 
Sisi Watu wa Mpira na Watu wa kuyajua mengi ya ndani na yaliyojificha tunajua kuwa Mdhamini wa Jezi Vunja Bei hakuwa mwana Simba SC na hata huyu Mdhamini mpya wa Jezi Sandaland nas pia siyo mwana Simba SC ( japo analazimisha aaminike hivyo ) ila nae ni mwana Yanga SC mzuri tu.

Kuna Mambo ya ndani kuhusu hizo Jezi yalifanyika na Maadui wa Simba SC baada ya Mdhamini wa zamani Kushirikiana na hao Maadui zetu na naamini hata huyu Mdhamini mpya wa Jezi za Simba SC nae atapita mule mule huku akitumika na hao Maadui zetu kuweza Kuiumuza na Kuihujumu Simba SC.

Na kwa Upuuzi huu wa Awali kabisa uliofanyika kwa kumpa Udhamini wa Jezi mwana Yanga SC aitwae Sandaland ( ila mwana Simba SC wa Usoni tu ) na hawa Wachezaji wabovu wanaenda Kusajiliwa Simba SC GENTAMYCINE natangaza mapema hapa kuwa Yanga SC anabeba tena Makombe yote kwa Msimu ujao.

Simba SC kuna matatizo makubwa!!!
Basi mpeni hiyo tender Mo Dewji au Muchacho group.

Usichokijuwa Sumba na Yanga ni timu ya mmiliki mmoja, ni sawa na National na Panasonic au Hitachi na TCL.

Hili somo tumewafundisha kwa muda mrefu hamtaki kuelewa.
 
Sisi Watu wa Mpira na Watu wa kuyajua mengi ya ndani na yaliyojificha tunajua kuwa Mdhamini wa Jezi Vunja Bei hakuwa mwana Simba SC na hata huyu Mdhamini mpya wa Jezi Sandaland nas pia siyo mwana Simba SC ( japo analazimisha aaminike hivyo ) ila nae ni mwana Yanga SC mzuri tu.

Kuna Mambo ya ndani kuhusu hizo Jezi yalifanyika na Maadui wa Simba SC baada ya Mdhamini wa zamani Kushirikiana na hao Maadui zetu na naamini hata huyu Mdhamini mpya wa Jezi za Simba SC nae atapita mule mule huku akitumika na hao Maadui zetu kuweza Kuiumuza na Kuihujumu Simba SC.

Na kwa Upuuzi huu wa Awali kabisa uliofanyika kwa kumpa Udhamini wa Jezi mwana Yanga SC aitwae Sandaland ( ila mwana Simba SC wa Usoni tu ) na hawa Wachezaji wabovu wanaenda Kusajiliwa Simba SC GENTAMYCINE natangaza mapema hapa kuwa Yanga SC anabeba tena Makombe yote kwa Msimu ujao.

Simba SC kuna matatizo makubwa!!!
OKW BOBAN SUNZU Scars njoeni huku
 
Mzee huelewi kabisa mambo ya biashara na mpira. Kwenye hizi biashara kinachoangaliaa ni pesa na fursa tuu.

Nani asiyejua kama gharib said mohamed gsm ni simba damu lkn anafanya biashara na yanga. Tarimba abbas ni ysnga lia lia lkn aliikuwadia sportpesa kuvaliwa kifuani kwa simba.

Kama huyo sandaland amefika bei nzuri na ameushawishi uongozi kupiga kazi ya viwango anapewa tenda.

Huyo fred hakujipanga vizuri ndio sababu iliyomwangusha. Hatukujali usimba wala uyanga wake.
 
Mzee huelewi kabisa mambo ya biashara na mpira. Kwenye hizi biashara kinachoangaliaa ni pesa na fursa tuu.

Nani asiyejua kama gharib said mohamed gsm ni simba damu lkn anafanya biashara na yanga. Tarimba abbas ni ysnga lia lia lkn aliikuwadia sportpesa kuvaliwa kifuani kwa simba.

Kama huyo sandaland amefika bei nzuri na ameushawishi uongozi kupiga kazi ya viwango anapewa tenda.

Huyo fred hakujipanga vizuri ndio sababu iliyomwangusha. Hatukujali usimba wala uyanga wake.
Na hakuna asiyejuwa kwamba Bakhressa ni mwanachama wa maisha wa Simba lakini Azzam ikikutana na Simba basi Simba inakandwa vizuri tu na kutupwa nje ya mashindano.
 
Sisi Watu wa Mpira na Watu wa kuyajua mengi ya ndani na yaliyojificha tunajua kuwa Mdhamini wa Jezi Vunja Bei hakuwa mwana Simba SC na hata huyu Mdhamini mpya wa Jezi Sandaland nas pia siyo mwana Simba SC ( japo analazimisha aaminike hivyo ) ila nae ni mwana Yanga SC mzuri tu.

Kuna Mambo ya ndani kuhusu hizo Jezi yalifanyika na Maadui wa Simba SC baada ya Mdhamini wa zamani Kushirikiana na hao Maadui zetu na naamini hata huyu Mdhamini mpya wa Jezi za Simba SC nae atapita mule mule huku akitumika na hao Maadui zetu kuweza Kuiumuza na Kuihujumu Simba SC.

Na kwa Upuuzi huu wa Awali kabisa uliofanyika kwa kumpa Udhamini wa Jezi mwana Yanga SC aitwae Sandaland ( ila mwana Simba SC wa Usoni tu ) na hawa Wachezaji wabovu wanaenda Kusajiliwa Simba SC GENTAMYCINE natangaza mapema hapa kuwa Yanga SC anabeba tena Makombe yote kwa Msimu ujao.

Simba SC kuna matatizo makubwa!!!
Kwani kuna ubaya gani? Kwanini wewe mwanasimba usingeenda kudhamini na hizo pesa zako za mihogo kutoka hapo soko la kawe?
 
Mzee huelewi kabisa mambo ya biashara na mpira. Kwenye hizi biashara kinachoangaliaa ni pesa na fursa tuu.

Nani asiyejua kama gharib said mohamed gsm ni simba damu lkn anafanya biashara na yanga. Tarimba abbas ni ysnga lia lia lkn aliikuwadia sportpesa kuvaliwa kifuani kwa simba.

Kama huyo sandaland amefika bei nzuri na ameushawishi uongozi kupiga kazi ya viwango anapewa tenda.

Huyo fred hakujipanga vizuri ndio sababu iliyomwangusha. Hatukujali usimba wala uyanga wake.

Jama ukisoma nyuzi zake unaona kabisa hayupo sawa kichwani na mara nyingi. Hana hoja kwenye nyuzi zake na kwa hili hawezi tofautisha Mapenzi na biashara/kazi.

Yaani mtu kupewa tender kubwa ya biashara eti atahujumu hiyo tender kisa yeye Yanga hivyo ataenda nunua fulana zinazofanana kwenye mitumba alafu atazipaka rangi moja kama tulivyokuwa tunafanya utotoni wakati tunacheza sodo/ndondo/mipira ya nylon ndio ziwe jezi za Simba.

Jamaa bwana huyu, sijui labda haandiki serious anafanya joking ila kama ndio yupo serious, kuna shida kwa wasomi na waandishi wetu wa habari.
 
Jama ukisoma nyuzi zake unaona kabisa hayupo sawa kichwani na mara nyingi Hana hoja kwenye nyuzi zake na kwa hili hawezi tofautisha Mapenzi na biashara/kazi.
Yaani mtu kupewa tende kubwa ya biashara eti atahujumu hiyo tender kisa yeye Yanga hivyo ataenda nunua fulana zinazofanana kwenye mitumba alafu atazipaka rangi moja kama tulivyokuwa tunafanya utotoni wakati tunacheza sodo/ndondo/mipira ya nylon ndio ziwe jezi za Simba.
Jamaa bwana huyu, sijui labda haandiki seriuos anafanya joking ila kama ndio yupo serious, kuna shida kwa wasomi na waandishi wetu wa habari.
Huyo ni mzee wa story vya vijiwe vya kahawa wale wansojazana kupiga stori za kuzusha huku wakigongea kahawa na kashata.
 
Haelewi huyu bumunda yaani anamihemko sana kwenye hoja zake. Always amejaa hofu, mashaka, woga, kutojiamini na kujiogopa kila anapoiwaza yanga na kuifananisha na simba.

Huyu angekuwa mwanamke ni wale dizaini ambao anaweza kumvulia mwanaume chupix kisa tu mwanaume amemsalimia yeye akatafsiri ameshatakwa tayari. Shwain..
Miaka ya 90's sikumbuki vizuri ila ule mwaka Yanga ya kina Lunyamila walichukuwa kombe la CECAFA Yanga iliishiwa pesa kabla hata ya nusu fainali kuna kiongozi wa Simba nimemsahau aliwakopesha Yanga dollar 20,000 ili ziwasaidie na mwisho wa siku Yanga ndio ilibeba ubingwa.

Tundu Lisu alipopigwa risasi pesa za kikosi ndege kumuwahisha Nairobi alitowa mbunge wa Ccm Zanzibar marehemu Turky.
Screenshot_20230605-192423.jpg
 
Back
Top Bottom