GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #41
Sikumbuki ni lini uliwahi kumiliki Akili.We lijinga kweli, nani ata risk mabilioni yake kwa nia ya kuhujumu timu?
kuna watu uwezo wenu wa kufikiri ni pungufu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikumbuki ni lini uliwahi kumiliki Akili.We lijinga kweli, nani ata risk mabilioni yake kwa nia ya kuhujumu timu?
kuna watu uwezo wenu wa kufikiri ni pungufu sana.
Ndio maana nasema hili jamaa halinaga akili. Tangu lini vunjabei akawa mdhamini wa jezi? Yani kupewa tender ndio anakuwa mdhamini? Alafu kuna watu wanamskilizaga kabisa.Sisi Watu wa Mpira na Watu wa kuyajua mengi ya ndani na yaliyojificha tunajua kuwa Mdhamini wa Jezi Vunja Bei hakuwa mwana Simba SC na hata huyu Mdhamini mpya wa Jezi Sandaland nas pia siyo mwana Simba SC (japo analazimisha aaminike hivyo) ila nae ni mwana Yanga SC mzuri tu.
Kuna Mambo ya ndani kuhusu hizo Jezi yalifanyika na Maadui wa Simba SC baada ya Mdhamini wa zamani Kushirikiana na hao Maadui zetu na naamini hata huyu Mdhamini mpya wa Jezi za Simba SC nae atapita mule mule huku akitumika na hao Maadui zetu kuweza Kuiumuza na Kuihujumu Simba SC.
Na kwa Upuuzi huu wa Awali kabisa uliofanyika kwa kumpa Udhamini wa Jezi mwana Yanga SC aitwae Sandaland (ila mwana Simba SC wa Usoni tu) na hawa Wachezaji wabovu wanaenda Kusajiliwa Simba SC GENTAMYCINE natangaza mapema hapa kuwa Yanga SC anabeba tena Makombe yote kwa Msimu ujao.
Simba SC kuna matatizo makubwa!!!
Ni pure talented charismatic fella and game changer.Ndio maana nasema hili jamaa halinaga akili. Tangu lini vunjabei akawa mdhamini wa jezi? Yani kupewa tender ndio anakuwa mdhamini? Alafu kuna watu wanamskilizaga kabisa.
Alisoma mass communicationBro pale SAUT ulisoma nini ? na ulitunukiwa degree kabisa?
Na sasa nakaribia kuanza Doctorate yangu ya Mass Communication.Alisoma mass communication
Madaktari wa Milembe Mental Health wanakuhitaji Mgonjwa Mteja wao Wodini. Unaenda lini ili wakuandalie mapema Sindano za Dozi yako?WE JAMAA KICHWA CHEUPE KABISA.
WASWAHILI WANASEMA.
MBUMBUMBU MZUNGU WA RELI.
WENZIO wanapiga pesa we unaangalia Simba yanga.
Shenza kabisa.
jingalao.
Hahaaaaa, haya bwana kuwa na siku njema.Dozi yako ya Sindano ya Utahaira umeinywa leo?
🤣🤣🤣 sisi tunawachongelea na kukaa pembeni NALIA NGWENAHuyo NALIA NGWENA ni kirusi tu na ukiona mtu kwa siku anaanzisha thread zaidi ya 3 kwa siku huyo afya ya akili haiko vizuri 😂😂😂
Nipe connection hapo yaan mshabiki wa yanga akifanya biashara ya kuuza jezi za simba anasajili vp wachezaji wabovu😀Sisi Watu wa Mpira na Watu wa kuyajua mengi ya ndani na yaliyojificha tunajua kuwa Mdhamini wa Jezi Vunja Bei hakuwa mwana Simba SC na hata huyu Mdhamini mpya wa Jezi Sandaland nas pia siyo mwana Simba SC (japo analazimisha aaminike hivyo) ila nae ni mwana Yanga SC mzuri tu.
Kuna Mambo ya ndani kuhusu hizo Jezi yalifanyika na Maadui wa Simba SC baada ya Mdhamini wa zamani Kushirikiana na hao Maadui zetu na naamini hata huyu Mdhamini mpya wa Jezi za Simba SC nae atapita mule mule huku akitumika na hao Maadui zetu kuweza Kuiumuza na Kuihujumu Simba SC.
Na kwa Upuuzi huu wa Awali kabisa uliofanyika kwa kumpa Udhamini wa Jezi mwana Yanga SC aitwae Sandaland (ila mwana Simba SC wa Usoni tu) na hawa Wachezaji wabovu wanaenda Kusajiliwa Simba SC GENTAMYCINE natangaza mapema hapa kuwa Yanga SC anabeba tena Makombe yote kwa Msimu ujao.
Simba SC kuna matatizo makubwa!!!
Hata vilaza wana Genius WaoNa huyo ndio kichwa cha SAUT. Pale alikuwa genius
Mirembe sio milembe we jinga vunjabei eti sponsor? We ni kati ya wanaodidimiza taifa. Ujinga ni adui wa maendeleo.Madaktari wa Milembe Mental Health wanakuhitaji Mgonjwa Mteja wao Wodini. Unaenda lini ili wakuandalie mapema Sindano za Dozi yako?
mkurya mpumbafu hayupo! nna uhakika huyo sio mkuryaOgopa sana mwanaume anayependa kuwaambia wanaume wenzake maneno kama yako. Unalipenda sana hili Neno "basha". Biblia inasema "kimjazacho mtu moyoni mwake ndicho kimtokacho" kwa hiyo ni dhahiri huo ndio mchezo wako kwa maana usingeweza mchezo wako usingelitamka hilo Neno. Hongera kwa kupumuliwa na kufumuliwa Marinda Popoma maana nyie Wakurya toka mwanzo kuimba taarabu basi kila kitu kimeharibika.
Ten percent imefanya kazi yake..Sisi Watu wa Mpira na Watu wa kuyajua mengi ya ndani na yaliyojificha tunajua kuwa Mdhamini wa Jezi Vunja Bei hakuwa mwana Simba SC na hata huyu Mdhamini mpya wa Jezi Sandaland nas pia siyo mwana Simba SC (japo analazimisha aaminike hivyo) ila nae ni mwana Yanga SC mzuri tu.
Kuna Mambo ya ndani kuhusu hizo Jezi yalifanyika na Maadui wa Simba SC baada ya Mdhamini wa zamani Kushirikiana na hao Maadui zetu na naamini hata huyu Mdhamini mpya wa Jezi za Simba SC nae atapita mule mule huku akitumika na hao Maadui zetu kuweza Kuiumuza na Kuihujumu Simba SC.
Na kwa Upuuzi huu wa Awali kabisa uliofanyika kwa kumpa Udhamini wa Jezi mwana Yanga SC aitwae Sandaland (ila mwana Simba SC wa Usoni tu) na hawa Wachezaji wabovu wanaenda Kusajiliwa Simba SC GENTAMYCINE natangaza mapema hapa kuwa Yanga SC anabeba tena Makombe yote kwa Msimu ujao.
Simba SC kuna matatizo makubwa!!!
Nashukuru kwa kujua Mimi si Mkurya.mkurya mpumbafu hayupo! nna uhakika huyo sio mkurya
Ila bado tu unazisoma na unachangia.!!Kwa Nyuzi kama hizi ni Aibu kwa Jamii forum.
Sewahaji na Kibasila zote ni Muhimbili.Mirembe sio milembe we jinga vunjabei eti sponsor? We ni kati ya wanaodidimiza taifa. Ujinga ni adui wa maendeleo.