ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Huyo ni mgogo wa pale kanda ya katimkurya mpumbafu hayupo! nna uhakika huyo sio mkurya
Kanda ya ziwa kwetu hatoki fala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni mgogo wa pale kanda ya katimkurya mpumbafu hayupo! nna uhakika huyo sio mkurya
Una ushaidi gani kuwa GSM ni Simba?Mzee huelewi kabisa mambo ya biashara na mpira. Kwenye hizi biashara kinachoangaliaa ni pesa na fursa tuu.
Nani asiyejua kama gharib said mohamed gsm ni simba damu lkn anafanya biashara na yanga. Tarimba abbas ni ysnga lia lia lkn aliikuwadia sportpesa kuvaliwa kifuani kwa simba.
Kama huyo sandaland amefika bei nzuri na ameushawishi uongozi kupiga kazi ya viwango anapewa tenda.
Huyo fred hakujipanga vizuri ndio sababu iliyomwangusha. Hatukujali usimba wala uyanga wake.
Sipo hapa kwa ajili ya kukuaminisha wewe. Pita kuleUna ushaidi gani kuwa GSM ni Simba?
Picha piga kadi yake ya uanachama kama ushahidi.
,Nimekuja kugundua kuwa mo ni mwana yanga kajivika usimba kibiashara
Kama nakumbuka vzr na mimi ilikua 1993 ,kule nchini Uganda, na alikua Shafii Bora nadhani ndio alitoa hiyo pesaMiaka ya 90's sikumbuki vizuri ila ule mwaka Yanga ya kina Lunyamila walichukuwa kombe la CECAFA Yanga iliishiwa pesa kabla hata ya nusu fainali kuna kiongozi wa Simba nimemsahau aliwakopesha Yanga dollar 20,000 ili ziwasaidie na mwisho wa siku Yanga ndio ilibeba ubingwa.
Tundu Lisu alipopigwa risasi pesa za kikosi ndege kumuwahisha Nairobi alitowa mbunge wa Ccm Zanzibar marehemu Turky.
View attachment 2660093
Zako zimejaa Funza tupu.HUNA AKILI
Ndio maana SAUT imepotea kumbe Ndio Hawa!😁Bro pale SAUT ulisoma nini ? na ulitunukiwa degree kabisa?
Kwamba wanatoa product mbovu ?Ndio maana SAUT imepotea kumbe Ndio Hawa!😁
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaahNa hakuna asiyejuwa kwamba Bakhressa ni mwanachama wa maisha wa Simba lakini Azzam ikikutana na Simba basi Simba inakandwa vizuri tu na kutupwa nje ya mashindano.
NakaziaNdio maana nasema hili jamaa halinaga akili. Tangu lini vunjabei akawa mdhamini wa jezi? Yani kupewa tender ndio anakuwa mdhamini? Alafu kuna watu wanamskilizaga kabisa.