Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo picha atasema ahmed ally anaihujumu timu. Yaani anafikiri mpira ni uadui kama wa chatu na mbwa.Miaka ya 90's sikumbuki vizuri ila ule mwaka Yanga ya kina Lunyamila walichukuwa kombe la CECAFA Yanga iliishiwa pesa kabla hata ya nusu fainali kuna kiongozi wa Simba nimemsahau aliwakopesha Yanga dollar 20,000 ili ziwasaidie na mwisho wa siku Yanga ndio ilibeba ubingwa.
Tundu Lisu alipopigwa risasi pesa za kikosi ndege kumuwahisha Nairobi alitowa mbunge wa Ccm Zanzibar marehemu Turky.
Hakuna tofauti kati ya Simba na Yanga, timu zote mbili mmiliki wake ni mmoja, wewe ndio unachaguwa ushabikie ipi.Unajua kuwa GSM ni Simba kabisa?. Tunaomjua toka anakuwa Ni shabiki wa Simba
Rage ana mademu wengi sana huko Yanga hamuishi kumtaja taja kwa jinsi anavyowapelekea motoJiandae kwa kejeli na matusi toka kwa wale jamaa waliopewa jina na Rage
Tafuta mchezo wa kushabikia, kwenye mpira hupawezi hawahitajiki vichaa.Rage ana mademu wengi sana huko Yanga hamuishi kumtaja taja kwa jinsi anavyowapelekea moto
GENTAMYCINE hapa JamiiForums huwa naeleweka vyema na Watu Intelligent kama Wewe, Bila bila, Dr Matola PhD, Bujibuji Simba Nyamaume na baadhi ila Wapumbavu waliojazana hapa huwa hawanielewi na kamwe hawatokuja Kunielewa.nilitegemea nikute mnajibu hoja kuhusu suala la sandaland na Simba nyie mnatoa hoja tofauti tu mara tuzo mara hana akili daah wazazi somesheni watoto
Mimi mpira naujua na nimeucheza siyo kama wewe mbwiga hata kupiga dana dana hujui. Tatizo lako unajiona kila kitu unajua sana hapa mjini kumbe juha na kapuku tu,sakala mkubwa wewe.Tafuta mchezo wa kushabikia, kwenye mpira hupawezi hawahitajiki vichaa.
Nani huyo mmilikiBasi mpeni hiyo tender Mo Dewji au Muchacho group.
Usichokijuwa Sumba na Yanga ni timu ya mmiliki mmoja, ni sawa na National na Panasonic au Hitachi na TCL.
Hili somo tumewafundisha kwa muda mrefu hamtaki kuelewa.
Leo umeongea ukweli kuna watu wanatuamulia maisha yetu yaendejeHakuna tofauti kati ya Simba na Yanga, timu zote mbili mmiliki wake ni mmoja, wewe ndio unachaguwa ushabikie ipi.
Mtibwa sugar na Kagera Sugar tofauti yake ni nini? Si kina Bysal hao? Ukija side B Bysal ni mwanachama wa Simba.
Asiyejuwa mambo haya ndio ataumiza kichwa.
Kuna wapumbavu kama Manara walistahili kufungiwa maisha kujihusisha na soccer ndio wanatuletea ujinga ujinga kwenye mpira.
Huyo NALIA NGWENA ni kirusi tu na ukiona mtu kwa siku anaanzisha thread zaidi ya 3 kwa siku huyo afya ya akili haiko vizuri 😂😂😂Kuna mtu anaitwa
Kuna mtu anaitwa Nalia Ngwena, kwa siku ana post 6, na hapati ban, anachukua award mwaka huu
Huyo naye shahada yake yatakiwa pigwa PINBro pale SAUT ulisoma nini ? na ulitunukiwa degree kabisa?
Vunjabei hajawai kua YANGA labda kama CCM na yanga ni associated entities..........Sisi Watu wa Mpira na Watu wa kuyajua mengi ya ndani na yaliyojificha tunajua kuwa Mdhamini wa Jezi Vunja Bei hakuwa mwana Simba SC na hata huyu Mdhamini mpya wa Jezi Sandaland nas pia siyo mwana Simba SC (japo analazimisha aaminike hivyo) ila nae ni mwana Yanga SC mzuri tu.
Kuna Mambo ya ndani kuhusu hizo Jezi yalifanyika na Maadui wa Simba SC baada ya Mdhamini wa zamani Kushirikiana na hao Maadui zetu na naamini hata huyu Mdhamini mpya wa Jezi za Simba SC nae atapita mule mule huku akitumika na hao Maadui zetu kuweza Kuiumuza na Kuihujumu Simba SC.
Na kwa Upuuzi huu wa Awali kabisa uliofanyika kwa kumpa Udhamini wa Jezi mwana Yanga SC aitwae Sandaland (ila mwana Simba SC wa Usoni tu) na hawa Wachezaji wabovu wanaenda Kusajiliwa Simba SC GENTAMYCINE natangaza mapema hapa kuwa Yanga SC anabeba tena Makombe yote kwa Msimu ujao.
Simba SC kuna matatizo makubwa!!!
LIKUD njoo ujionee vitukoSimba SC ( hasa Uongozi na baadhi ya Watendaji wa Benchi la Ufundi ) wangenitumia GENTAMYCINE au basi hata kama hawanitumii kwa Kutokutaka Kwao basi angalau wawe Wananisoma hapa JamiiForums na Kunielewa nina uhakika wangekuwa mbali mno kuliko wanavyodhani. Nimesikitika sana kwa kuamua Kuruka Mkojo ( Vunja Bei ) wa zamani na Kukanyaga Mavi ( Sandaland ) wa sasa.
Na niwaambieni Watu wa Simba SC kuwa msitegemee Jipya kwani ndani ya Simba SC bado kuna Virusi Watatu ( 3 ) wa Kutumaliza na Mmoja mnamjua vizuri tu.
Tafuta kwanza nani Kajenga hilo jengo la club ya Simba hapo Msimbazi utaanza kupata mwanga.Nani huyo mmiliki
Du unataka viongozi wa benchi la ufundi wa simba wakutumie? Dah kazi kweli kweli mwanaume anaomba kutumiwa kwa nguvu . Haya kaniripoti kwa mods wanipige life ban maana nimechoka kusoma vituko aisee mtoto wa kiume anaomba kutumiwa tena hadharaniSimba SC ( hasa Uongozi na baadhi ya Watendaji wa Benchi la Ufundi ) wangenitumia GENTAMYCINE au basi hata kama hawanitumii kwa Kutokutaka Kwao basi angalau wawe Wananisoma hapa JamiiForums na Kunielewa nina uhakika wangekuwa mbali mno kuliko wanavyodhani. Nimesikitika sana kwa kuamua Kuruka Mkojo ( Vunja Bei ) wa zamani na Kukanyaga Mavi ( Sandaland ) wa sasa.
Na niwaambieni Watu wa Simba SC kuwa msitegemee Jipya kwani ndani ya Simba SC bado kuna Virusi Watatu ( 3 ) wa Kutumaliza na Mmoja mnamjua vizuri tu.
AahhaaaaNa hakuna asiyejuwa kwamba Bakhressa ni mwanachama wa maisha wa Simba lakini Azzam ikikutana na Simba basi Simba inakandwa vizuri tu na kutupwa nje ya mashindano.