Simba SC bado mnaendelea na 'Upuuz'i wenu ule ule. Sandaland na Vunja Bei ni wana Yanga SC tupu

Ndio maana nasema hili jamaa halinaga akili. Tangu lini vunjabei akawa mdhamini wa jezi? Yani kupewa tender ndio anakuwa mdhamini? Alafu kuna watu wanamskilizaga kabisa.
 
WE JAMAA KICHWA CHEUPE KABISA.

WASWAHILI WANASEMA.
MBUMBUMBU MZUNGU WA RELI.

WENZIO wanapiga pesa we unaangalia Simba yanga.


Shenza kabisa.
jingalao.
 
WE JAMAA KICHWA CHEUPE KABISA.

WASWAHILI WANASEMA.
MBUMBUMBU MZUNGU WA RELI.

WENZIO wanapiga pesa we unaangalia Simba yanga.


Shenza kabisa.
jingalao.
Madaktari wa Milembe Mental Health wanakuhitaji Mgonjwa Mteja wao Wodini. Unaenda lini ili wakuandalie mapema Sindano za Dozi yako?
 
Nipe connection hapo yaan mshabiki wa yanga akifanya biashara ya kuuza jezi za simba anasajili vp wachezaji wabovu😀
 
Madaktari wa Milembe Mental Health wanakuhitaji Mgonjwa Mteja wao Wodini. Unaenda lini ili wakuandalie mapema Sindano za Dozi yako?
Mirembe sio milembe we jinga vunjabei eti sponsor? We ni kati ya wanaodidimiza taifa. Ujinga ni adui wa maendeleo.
 
mkurya mpumbafu hayupo! nna uhakika huyo sio mkurya
 
Ten percent imefanya kazi yake..
 
Mirembe sio milembe we jinga vunjabei eti sponsor? We ni kati ya wanaodidimiza taifa. Ujinga ni adui wa maendeleo.
Sewahaji na Kibasila zote ni Muhimbili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…