Simba SC bado mnaendelea na 'Upuuz'i wenu ule ule. Sandaland na Vunja Bei ni wana Yanga SC tupu

Una ushaidi gani kuwa GSM ni Simba?

Picha piga kadi yake ya uanachama kama ushahidi.
 
Kama nakumbuka vzr na mimi ilikua 1993 ,kule nchini Uganda, na alikua Shafii Bora nadhani ndio alitoa hiyo pesa
 
Ndio maana nasema hili jamaa halinaga akili. Tangu lini vunjabei akawa mdhamini wa jezi? Yani kupewa tender ndio anakuwa mdhamini? Alafu kuna watu wanamskilizaga kabisa.
Nakazia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…